Kwa hizo infrastructures hawawezi tia pua zao hata moja.Hakuna infrastructure ya kisasa yoyote ambayo ipo Nairobi ikakosa kuwepo Dar lkn kuna infrastructures kibao zipo Dar huwezi kukuta East and Central Africa kila siku nasema na leo imebainika![]()
Kwa hizo infrastructures hawawezi tia pua zao hata moja.Hakuna infrastructure ya kisasa yoyote ambayo ipo Nairobi ikakosa kuwepo Dar lkn kuna infrastructures kibao zipo Dar huwezi kukuta East and Central Africa kila siku nasema na leo imebainika![]()
😂😂😂😂😂😂😂😂Post agrarian revolution Auto workshop in Nairobae.
BTW hapo Chini bado tunaweza enedelza agrarian revolution maana ardhi inaonekana ina rutuba zote
View attachment 2258456
Wapi nimesema ni the busiest, mnaumia na maendeleo ya Tz mpk mnaropoka bila kuelewa![]()
Yaani kichapo kimezidi. Mimi niliona neno busiest badala ya biggest.Unakula kichapo mpaka unalisha watu maneno 😂😂😂
Mkuu agrarian unaenda mbali sana 😅😅😅 mimi nimemuambia hata evolution of human being bado haijamalizika kunyaland, mpaka hawa wanaokunywa tope kama nyumbu wa masai mara waishe 😂😂😂😂Hivi kama umeshavuka stage moja si inamaana umefaulu kuivuka au ili Mradi ulipitapita tu kama ku scratch the surface. Mtu anasema hawapo agrarian anymore wapo stage nyingine lakini tunaona malori ya msaada wa Chakula, umevukaje sasa hiyo stage na hujatatua shida za msingi? Au mi ndio sielewi mambo yanavyoenda.
JKIA capacity ni 2.5m pax per year.yani kwa hio akili yako yooote.. sasa uko very sure JNIA ni kubwa kushinda JKIA..!?yani unanibamba sana
Wala sijajisumbua kumjibu huyo kima.JKIA capacity ni 2.5m pax per year.
JNIA terminal 3 alone capacity 6m pax per year Terminal 2.5m pax per year Terminal 1 1m pax per year
Hizi mmezitolea wapi?Tofautiya Kenya na Tanzania is that while Tanzania is importing their buses from Kenya. Kenya on the other hand is not importing a single PSV buses.
View attachment 2258480
There's no day your literacy will be above Kenya.Tanzania is the country with the highest parentage of literacy rate in East Africa followed by Rwanda.View attachment 2258596
Wewe ni fala hata kuliko ichoboy na soja. So unapost picha imeandikwa proudly made in Kenya alafu unaclaim ni za Tz😂😂😂.
JNIA is handling 2.5 M passengers in a year while JKIA us handling 8.3M in a year. So which one is busier than the other.JKIA capacity ni 2.5m pax per year.
JNIA terminal 3 alone capacity 6m pax per year Terminal 2.5m pax per year Terminal 1 1m pax per year
Sasa kupaka rangi ndio literacy?
Hongera sana Bro, Ila ukihitaji skimming plaster ya FINISH BORA na gypsum boards za KNAUF, KNAUF srews, KNAUF skimming tape, nipo hapa, utazipata kwa bei ya kiwandani kabisa kupitia mimi..Teargas ona nipo kwangu sahizi, picha nmezipiga vby makusudi ujenzi unaendeleaView attachment 2258616View attachment 2258617View attachment 2258618
Who cares?Teargas ona nipo kwangu sahizi, picha nmezipiga vby makusudi ujenzi unaendeleaView attachment 2258616View attachment 2258617View attachment 2258618
JKIA ilihandle zaidi ya 7 million passengers in 2019 kabla ya Corona kuja.JKIA capacity ni 2.5m pax per year.
JNIA terminal 3 alone capacity 6m pax per year Terminal 2.5m pax per year Terminal 1 1m pax per year
Vyote hivyo nishapiga mkuu hizo picha zingine za kitambo sana tangu 2020 mkuuHongera sana Bro, Ila ukihitaji skimming plaster ya FINISH BORA na gypsum boards za KNAUF, KNAUF srews, KNAUF skimming tape, nipo hapa, utazipata kwa bei ya kiwandani kabisa kupitia mimi..







