Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania hats mpinge namna gani lakini bado ukweli utabaki kuwa Kenya exported more to Tanzania kuliko venye Tanzania imexport to Kenya.

Screenshot_20220611-204126.png
 
Bwana Mapesa mbona unakaza matako kwenye vitu vidogo sn, hii inadhihirisha maisha duni uliyo nayo aisee
Maisha duni ni kupigwa na jua ukiuza korosho mchana alafu usiku unakulwa na baridi ukifanya Kazi yako ya uwatchman.
 
Yes. Raw materials are always cheaper than manufactured goods. Tanzania is exporting raw materials, Kenya is exporting manufactured products.
Unapoweka comment kama hii unaweka na mifano..

Sio unakuwa kama ng'ombe tu unapelekwa... Oooh I forgot.. More than 70% ya wakunya ni mifugo ya Jayden... Mko juu ya shamba lake..
 
Maisha duni ni kupigwa na jua ukiuza korosho mchana alafu usiku unakulwa na baridi ukifanya Kazi yako ya uwatchman.
Bwana Mapesa huwa unachekesha sn, mm co rika yako hata ufanye nini nishakuacha kimaisha, pambana umalize shule utafute ajira kwanza
 
Bwana Mapesa huwa unachekesha sn, mm co rika yako hata ufanye nini nishakuacha kimaisha, pambana umalize shule utafute ajira kwanza
Give this line a rest. Everybody here except your delusional mind knows that I'm not a student. And I'm also not working under harsh conditions like you.
 
Watanzania hats mpinge namna gani lakini bado ukweli utabaki kuwa Kenya exported more to Tanzania kuliko venye Tanzania imexport to Kenya.

View attachment 2257694
Alafu Wakunya hizi simu zenu ni za aina gani? Mbona karibia wote simu zenu hazikai chaji most of the time, wallahi I bet ufukara mlionao hauna kipimo ikiwa hata vitu vidogo tu vinawashinda basi mnunue japo betri mana najua simu zenu nyingi betri ni za kuchomoa. Mpaka wa leo watu wanatumia simu betri ya kuchomoa
 
Back
Top Bottom