Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Majirani wakati wameanza safari asara Amerca walipiga makelele kama wako jandoni ...let teach em a lesson
Majirani wakati wameanza safari asara Amerca walipiga makelele kama wako jandoni ...let teach em a lesson
Hawa jamaa tungeingia nao mkataba wa 5th freedom rights ili tuweze kuserve na Toronto pia.Majirani wakati wameanza safari asara Amerca walipiga makelele kama wako jandoni ...let teach em a lesson
Izo gari hua zipo kila mkoa au itatembea hadi Dodoma?
Cha ajabu nn? Kwahiyo asiwahi Dodoma kwa ajili ya kusaini mkataba wa LNG kesho? Wacheni petty politics aisee! Au JPM alikuwa hafanyi haya? Au JPM alikuiwa anapanda ndege na magari ?Izo gari hua zipo kila mkoa au itatembea hadi Dodoma?
Kwahiyo anamtoa NMB.
elimu yako ni level gani mzee? Naomba kuuliza maana hili swali lako ni tope!Kwahiyo anamtoa NMB.
Kwani wewe ni mwanamke au mwanaume? Mana nahisi wewe ni demu co kwa mdomo wa mipasho kama huu, huyo aliteuliwa kuchukua nafasi ya yule mzungu pale NMB, now amepewa teuzi nyingine sasa toa jibu kama ulivyoulizwa usiwe na majibu ya kisengesenge kama shoga.elimu yako ni level gani mzee? Naomba kuuliza maana hili swali lako ni tope!
Geza Ulole usikubali mtoto mdogo kama huyu ambae bado ananuka maziwa akukosee heshima,Kwani wewe ni mwanamke au mwanaume? Mana nahisi wewe ni demu co kwa mdomo wa mipasho kama huu, huyo aliteuliwa kuchukua nafasi ya yule mzungu pale NMB, now amepewa teuzi nyingine sasa toa jibu kama ulivyoulizwa usiwe na majibu ya kisengesenge kama shoga.
Maasai Mara ni reserve wamaasai wanaishi na wanyama na kuwalinda..in return kuna percentage flani ya income from the reserve inaenda kwa communities around the reserveNiIete evidence mnachowafanyia huko Kenya? Mau Forest? Masai mara?
Nauliza tena level ya elimu yako! Unaweza kukuta na-chat na school drop out asiyejua nini maana ya board management!Kwani wewe ni mwanamke au mwanaume? Mana nahisi wewe ni demu co kwa mdomo wa mipasho kama huu, huyo aliteuliwa kuchukua nafasi ya yule mzungu pale NMB, now amepewa teuzi nyingine sasa toa jibu kama ulivyoulizwa usiwe na majibu ya kisengesenge kama shoga.
Wangapi wanaishi?Maasai Mara ni reserve wamaasai wanaishi na wanyama na kuwalinda..in return kuna percentage flani ya income from the reserve inaenda kwa communities around the reserve
Au siyo?Nauliza tena level ya elimu yako!
Usiwe na tabia ya kipumbavu kama hiyo kuna wakati jibu vile inavyotakiwa usiwe mpumbavu and you know me huwa sikopeshi wanaume wanao act umama kama ww.Nauliza tena level ya elimu yako! Unaweza kukuta na-chat na school drop out!
Shughulisha akili yako zembe ili upate ufahamu wa maana ya board na si kuropoka tu! Kila kitu cha mama upo negative mpaka unashindwa kudadavua kilichoandikwa!Usiwe na tabia ya kipumbavu kama hiyo kuna wakati jibu vile inavyotakiwa usiwe mpumbavu and you know me huwa sikopeshi wanaume wanao act umama kama ww.
Hao wanahamishwa bila kujalisha propaganda za KunyalandMmelikoroga wenyewe, forget about tourism, dawa ni kuwapa bunduki tu!
Leo unapigwa kama mbwa kutoka pande zote. 🤣 🤣 🤣 🤣 Sasa ona hukuenda shule huwezi changia mada za maana, umezoea tu kupost picha za kipumbavu.Usiwe na tabia ya kipumbavu kama hiyo kuna wakati jibu vile inavyotakiwa usiwe mpumbavu and you know me huwa sikopeshi wanaume wanao act umama kama ww.
Acheni upumbavu,na nyie mnaoeza hizi videos, Serikali ianze na nyie..Kuna genocide inanukia, waarabu wanataka ardhi ya maasai kwa nguvu. Let's spread the news
Tanzania is not safe for tourism
View attachment 2256297View attachment 2256298View attachment 2256299