Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tony254 kwann unamuacha huyu mbwa akupande kichwani kwa kukupangia what to say and what not to say?
Mimi nipo hapa kutuliza akili. Sipo hapa kuleta ugomvi. Mimi huja JF kutuliza akili hususan nikiwa ofisini na vitabu vimekataa kubalance huwa nakuja hapa kutoa stress. Kama kuna mtu ana tatizo na JF basi mimi sina tatizo na JF.
 
Tanzania tumefuzu kucheza kombe la dunia.

IMG_2018.jpg


IMG_2019.jpg
 
Huyu jamaa mada zake cheap cheap sana ingia kwny hiyo website inayonekana hapo juu peruzi utakavyo ukiridhika ulale!!!We unafikiri investment yake ni kama kuanzisha kiwanda, just a showroom.
View attachment 2251558
🤣 🤣 🤣 🤣 Hii sio official website wacha ushamba, huwezi pata logo ya ford kwa website ya Land Rover wacha ufala.
 
Mimi nipo hapa kutuliza akili. Sipo hapa kuleta ugomvi. Mimi huja JF kutuliza akili hususan nikiwa ofisini na vitabu vimekataa kubalance huwa nakuja hapa kutoa stress. Kama kuna mtu ana tatizo na JF basi mimi sina tatizo na JF.
Ss usiache hawa wapumbavu wachache wakupande kichwani ili wapate sifa kwa gharama zako, mm wkt najoin hii thread kuna mbwa walikuwa wanataka kunipangia cha kuongea nilionesha msimamo mapema kabisa na wakaacha upumbavu, usikubali mjinga a control mawazo yako hata kama ni national mwenzio.
 
Ss usiache hawa wapumbavu wachache wakupande kichwani ili wapate sifa kwa gharama zako, mm wkt najoin hii thread kuna mbwa walikuwa wanataka kunipangia cha kuongea nilionesha msimamo mapema kabisa na wakaacha upumbavu, usikubali mjinga a control mawazo yako hata kama ni national mwenzio.
Siwezi kubali mtu yeyote anipangie cha kusema. Kuna watu niligombana nao sana hapa walipokuwa wanajaribu kunipangia cha kusema. Najua unakumbuka hio siku.
 
Tanzania tumefuzu kucheza kombe la dunia.

View attachment 2251605

View attachment 2251606
Kuna mbwa huwa wanasema hatujui mchezo wowote, sisi huwa tunawaambia soka ndio mchezo wetu namba moja, nadhani kwa ss hakuna kelele tena. Alafu angalia Watz tulivyo hatuna kelele, yn hii ingekuwa failed state wallahi tusinge comment humu kwa wiki nzima.

Angalia wakishinda medali kwenye michezo isiyopendwa sn duniani kama mbio wanavyopiga kelele, ila cc tumetisha kwenye mchezo namba moja duniani na hatupigi kelele wala nn. Sisi co washamba kama wao.
 
Siwezi kubali mtu yeyote anipangie cha kusema. Kuna watu niligombana nao sana hapa walipokuwa wanajaribu kunipangia cha kusema. Najua unakumbuka hio siku.
Habari ndiyo hiyo, nmeona nikwambie mana wewe ndiye mkenya pekee mwenye akili humu kwenye huu uzi, kuna mbwa anakupanda kichwani anadhani utakaa kmy kisa ni mkenya mwenzie sasa hiyo co sawa. Juzi amekutoa akili ukakaa kmy, leo tena amekutoa akili wkt una uhuru wa kuongea kile unachoona ni sahihi.
 
Kuna mbwa huwa wanasema hatujui mchezo wowote, sisi huwa tunawaambia soka ndio mchezo wetu namba moja, nadhani kwa ss hakuna kelele tena. Alafu angalia Watz tulivyo hatuna kelele, yn hii ingekuwa failed state wallahi tusinge comment humu kwa wiki nzima.

Angalia wakishinda medali kwenye michezo isiyopendwa sn duniani kama mbio wanavyopiga kelele, ila cc tumetisha kwenye mchezo namba moja duniani na hatupigi kelele wala nn. Sisi co washamba kama wao.

Mpira wa miguu na njaa wapi na wapi mkuu! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siwezi kubali mtu yeyote anipangie cha kusema. Kuna watu niligombana nao sana hapa walipokuwa wanajaribu kunipangia cha kusema. Najua unakumbuka hio siku.
Relax boss, I simply said I don't understand how you tolerate some idiots here juu nimedeal nao ni watu wenye hata ukitoa facts watapinga tu sio eti nakupanga. Unachochwa na ng'ombe kama the best whatever na unachocheka tu.
 
Hapa hakuna kupangiana cha kuongea na nn cha kutoongea, wengi wetu humu tunajitambua sasa haiwezekani mtu akufunge mdomo eti usiongee kitu fulani, kinachotakiwa co mtu akufunge mdomo bali atoe facts kukuhusu zen wewe mwenyewe utagundua kwamba hii ni kweli ama hii c kweli, wote hapa tunajitambua.

Sasa huyu mwehu NairobiWalker tangu jana anamtoa akili bwana Tony254 kisa tu Tony anatoa mawazo yake, hii sio sawa kabisa alafu huu ni utoto ikizingatiwa Tony huwa mara nyingi hayuko biased.
 
Relax boss, I simply said I don't understand how you tolerate some idiots here juu nimedeal nao ni watu wenye hata ukitoa facts watapinga tu sio eti nakupanga. Unachochwa na ng'ombe kama the best whatever na unachocheka tu.
I come here to enjoy myself. I don't take things here too seriously. My real life is too serious especially at the office. I usually need a release and JF is my release. This is where I come to release stress. Play around, joke around and remove stress. My office work can be monotonous and serious and dealing with these people whom you may consider fools is my way of detoxing from the office environment. Bringing myself to their level makes me feel human again. To me it is almost therapeutic. So now I hope you understand why I come here. I consider these people my friends.
 
I come here to enjoy myself. I don't take things here too seriously. My real life is too serious especially at the office. I usually need a release and JF is my release. This is where I come to release stress. Play around, joke around and remove stress. My office work can be monotonous and serious and dealing with these people whom you may consider fools is my way of detoxing from the office environment. Bringing myself to their level makes me feel human again. To me it is almost therapeutic. So now I hope you understand why I come here. I consider these people my friends.
Wao watoe mawazo yao zen kama watakuwa hawakubaliani na wewe basi wakukosoe kwa hoja na sio mtu akuone huna akili hiyo sio sawa, hiki ndicho kitu ambacho nilipambana nacho mapema sn wkt naingia kwenye huu uzi, kwamba mtu awaye yote anapaswa kuheshimu mawazo yangu kwasababu mm naheshimu mawazo yake, sasa inakuwaje mtu anitoe akili? Hii co sawa kabisa.
 
Back
Top Bottom