Wewe huna akili, Mimi nilijibu post yako uliyosema kwamba "Democratic party wataangushwa katika uchaguzi wa November kutokana na kuongezeka kwa "inflation". Mimi nikasema kwamba huko kwenu jambo Kama hili likitokea badala ya kuisema au kuiadhibu serikali, badala yake mnatetea upumbavu kwa kusema kwamba "it is a global problem, therefore government should not be blamed.
Kuhusu haya Mambo ya uchumi wewe usijaribu kabisa kunichokoza, hizo CPA zako na Masters zako za kusoma kwa ajili ya kupasi Exams" kwa ajili ya kutafuta kazi hapo Kenya, tena kazi zenyewe ni mpaka umjue mtu wa kabila lako sio kutokana na uwezo wako, Kamwe hazina uwezo wa kupambana na Mimi(Form 4, division 4), kwenye uchumi na Medical sciences huko usinichokoze kabisa, utadhalilika.
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app