Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Oyee legalize it.
Hapo hapo sasa
FB_IMG_16522740438847615.jpg
 
Hahah natamani mawe yanayorushwa kwenye huu uzi yangewafikia angalau robo tu ya wakunya. Wangeelewa nafasi ya Tanzania na uelewa wa watu wake dhidi ya taifa lao la propaganda dhaifu.

Na Kwa ndugu zangu wabongo, ambao wengi hatuchangii sana na pia hatuchangii kabisa uzi huu. Tuelewe tu hawa nyang'au ni watu dhaifu na watu duni sana.. Ni mdomo mdomo mrefu tu.. Ila uhalisia ni watu wa hovyo.

Kwa hiyo, tuishi nao Kwa akili, tukijua ni watu wa kunyanyua mabega ila wadhaifu. Ukarimu wetu, nidhamu na upole uendelee.. Ila Hawa wakunya wasiuchukulie kama fimbo ya kujiona wako juu yetu. Ni masikini wa mwisho na wahovyo kabisa hawa nyang'au.

Waelewa kama dyfre na Tony254 wanajua Kwa uzuri kabisa
 
Cost of building a kilometre road of bitumen standard in Kenya is USD 600,000 equivalent to KSH 70,000,000.

Ukiangalia barabara zilizojengwa Kenya in 2017/2018 na 2018/2019 kilometers 1200 na 2000 respectively cost yake in fall kwenye gravel standard. Hizo zingine hapo juu ya km 725 na 463 km hizo ni bitumen standard.

Piga hesabu rahisi tuu

USD 600,000 × 116 exchange rate × 725kn = 50bn

600,000 × 116 × 463 = 32bn

The difference in actual values to what was published by authorities in Kenya is due to fluctuating exchange rate.

Swali la kujiuliza hapa is why a 2000km road cheaper than 725kn road ? Jibu lake ni rahisi tuu hizo km 2000 na hizo nyingine za 1200 ni gravel standard roads.
Kumbe uhuru anajumuisha barabara za vumbi kwenye izo 10k kilometres alizojenga 😅😅
 
Cost of building a kilometre road of bitumen standard in Kenya is USD 600,000 equivalent to KSH 70,000,000.

Ukiangalia barabara zilizojengwa Kenya in 2017/2018 na 2018/2019 kilometers 1200 na 2000 respectively cost yake in fall kwenye gravel standard. Hizo zingine hapo juu ya km 725 na 463 km hizo ni bitumen standard.

Piga hesabu rahisi tuu

USD 600,000 × 116 exchange rate × 725kn = 50bn

600,000 × 116 × 463 = 32bn

The difference in actual values to what was published by authorities in Kenya is due to fluctuating exchange rate.

Swali la kujiuliza hapa is why a 2000km road cheaper than 725kn road ? Jibu lake ni rahisi tuu hizo km 2000 na hizo nyingine za 1200 ni gravel standard roads.
Eti 10,000 km za paved roads 😎.. kumbe hadi za changarawe zimo humohumo
 
If kagame is not carefully the envisaged partnership with Quatar airways will go to dogs!
 
Port ya kibabe sana hii Zambia Malawi na Congo waanze kupitisha mizigo yao mingi huko sasa.
Nadhani mpaka 2030, mama atakuwa ameanza mradi wa reli ya Mtwara port-Mbamba Bay ila huwa najiuliza kama hii reli itajengwa itakuwa jambo zuri kama itakuwa Cape Gauge Railway maana ndo njia bora kuhudumia Zambia, Congo na Malawi effectively na efficiently!
 
Back
Top Bottom