Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na link unajisahaulisha kwamba haipo kwenye tweet? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
type the url and click enter then weka hapa report tusome, tujue it was data for which year, kwa vile world bank can post ata data ya nyuma in a recently released report and they indicate source, they depend on National Bureau of statistics ya nchi ambayo nyie mnaikwepa kimaksudi πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ., nilisema huu mwaka kila mti minyani mtakwea utateleza, ona sasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tufanye hivi lete article ya kuanzia mwaka 2015 inayoonesha shida ya maji Dar na mm nilete ya Nairobi usiweke picha za vijijini wkt mm naweka picha za ka Nairobi.
Hizo picha za Dar nimeweka hapo hujaziona? Hata hiyo link nimeweka hapo yenyewe inaongelea tatizo la maji Dar, not Tanzania as a whole. Hiyo pia hujasoma? What else do you want bongolala? Badala ya kusumbuka kutafuta data za Nairobi ama Kenya, si utupe tu data za nchi yako pia tuone? Mimi nilishaleta za Kenya but ukazikana as usual.

And by the way, Tanzania is not just made up of Dar. Data ikukusanywa, inakusanywa ya nchi nzima. Umesikia bongolala?
 
Kaka hii siyo netball ni football,magoli yote mnatufunga tu tumewaangalia si bora tubebe mpira kwapani mechi iishe
Goli zenu zote zilikua offside, wewe haukuona? ila VAR (World Bank) wameweka mambo sawa kwa wasio amini KNBS πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Inaitwa VAR., yaani facts beyond any reasonable doubt, wakiitisha World bank tunawapa, kisha wanaanza kutapatapa, mafisi kweliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hakuna siku Tanzania itawaishinda Kenya na the number of registered vehicles.
 
Neno paved lipo wapi? 🀣🀣🀣
Nenda kanunue miwani wacha kujifanya kipofu. Hapo baada ya heading "Roads Country Context." Soma sentensi ya nne inayoanza na neno "About 77%"

1654183601340.png
 
Tatizo lao they want us to believe Dar or Tz is more paradise than Kenya, lakini ufukara wao haufichiki, umesambaa kwa upana, in Kenya u hardly see poverty at first glance, ata in Nairobi itabidi utafute slum ama uulize upelekwe not like Dar ukiwa kwa ndege ufukara unaonekana wazi wazi umetapakaa sehemu kubwa ya jiji.,
View attachment 2248340
They are objecting every data we provide here. Kwao, the only true data ni mawazo yao potovu wanaotoa akilini. To them, anything WB, IMF or UN says is utter nonsense as long as it places Kenya ahead of them.

Jana mmoja wao alileta list fulani tujadili mimi na yeye when I told them that we score high in HDI then them. I didn't want to engage him coz I knew he would object every data I provide to prove my points.

Just out of curiosity, I decided to touch on one of the points he mentioned which is accessibility to safe drinking water. After providing evidence from UNICEF that 59% of Kenyans have access to clean drinking water, they were so quick to dismiss the data, just like I had predicted. Those are the kind of people we engage here. Ujinga usio na kipimo!
 
Kuna ingredient moja nimesahau inaitwa fomalin. Ile dawa ya kukausha maiti kwenye mortuary. Hii inawekwa ili ukipiga chang'aa unahisi akili ikicheza densi kichwani. Methanol nayo huwa inafanya walevi wawe vipofu. Najua ingredients kwa sababu Nakuru ndio nyumbani na huko nimeona walevi wengi wa chang'aa. By the way unapafahamu Nakuru? Unafahamu maeneo gani ya Nakuru?
Kenya sehemu nimefika sana ni mombasa,lamu,kilifi,muranga,kiambu,nyeri,garissa,mandera,kibwezi,na Nairobi nakuru/naivasha nimepita juzi tu tena Usiku safari zangu Nyingi ni za kwenda kakuma dadaab/eastleigh/rongai kasarani kwa wakimbizi where we provide psychosocial support to refugees mostly whistleblowers.
 
Gani? ni projected costs tu ya projects uchumi wenu hafifu haiwezi toboa, itawachukua miaka mingi sana kukamilisha., wacha kuota mchana, danganya vilaza wenzako, hela hamuna ila ni mipango ndiyo ipo, yale mmetimiza gharama yake ni average tu ama unapinga?, ufukara ni mbaya sana
Kichwa chako kinajua kutofautisha kati ya mipango na utekelezaji kweli? I dought that
 
Hizi articles zote ni recent na zinaongelea water shortage in ka Nairobi, kwnn unakuwa mbishi mpumbavu unayetaka kubisha kila kitu? Hivi Kenya ni ya kushindana na Tz kwenye suala la maji safi na salama? Ubishi wa kitoto huu naachana na wewe.View attachment 2248346View attachment 2248347View attachment 2248348View attachment 2248349View attachment 2248350
Bongolala I can bring tones and tones of such articles about Dar buy there's no point coz the one I already posted here (about water shortage in Dar) hukuisoma. Arguing with you people is a total waste of time to be honest.

I provided data saying that 59% of Kenyans have access to clean drinking water. This means the other 41% have no access na ni hao ndio unasumbuka kuleta picha zao huku. Instead of spending time digging information about Nairobi and Kenya, why can't you provide information about the number of people in your country who have access to clean drinking water like I did about Kenya? Woga ni wa nini if you believe your country is doing better than Kenya?
 
Back
Top Bottom