Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

chongchung πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ mko chini yetu milele, sio mimi ni world bank na KNBS nenda ukagombane naoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
1654179794499.png

1654179809422.png

1654179841783.png

1654179826711.png

1654179876157.png
 
Sasa tubaki na World bank as a reputable source kwa sasa ya kunyamazisha vilaza bin mikwara humu, nafurahi sana wanavyoteseka wakijaribu kupingana na facts, rahaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ So which report was that eti 40%? and which year, coz latest news from World bank outlook report puts Kenya above Tz, Tanzania ni fukara tu sana πŸ˜‚ πŸ˜‚
View attachment 2248231
View attachment 2248232
The report itself is so vague. It is a news report by TheStar newspaper Kama sijakosea quoting WB as saying so. It's not an official report from the WB website or its affiliates like the ones we usually give here but for avoidance of unnecessary drama, we embraced it. Nitakutumia link if I get it
 
The same statistics from government authorities πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Keep them for yourselves

Ila hii technology ya kujenga kilometers 8000 kwa miaka mitatu tunaiomba, najua ni gravel lakini hii ni kali πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

View attachment 2248288
Kumbe na wewe ni kilaza., so ukisoma hii opinion piece, kwa kujenga 1659 km in 2014/2015 na Macharia kusema wamerejea kumalizia 10,000 km un aona tatizo liko wapi? kwa vile 10,000km ndio ilikua lengo na by 2022 walitimiza hilo, Ruto anaye mpinga Kenyatta hiyo hapingi ndio pia anatumia ku campaign kama achievement ya Jubilee, liko wazi sana, barabara zimejengwa zaidi kupitia muhula wa rais Uhuru tena kwa muda mfupi kuliko marais watatu wa kwanza combined, na inaonekana., nyie pigeni nduru hadi basi πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

1654180006651.png
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣tony kumbe unajua full ingredients 🀣🀣
Kuna ingredient moja nimesahau inaitwa fomalin. Ile dawa ya kukausha maiti kwenye mortuary. Hii inawekwa ili ukipiga chang'aa unahisi akili ikicheza densi kichwani. Methanol nayo huwa inafanya walevi wawe vipofu. Najua ingredients kwa sababu Nakuru ndio nyumbani na huko nimeona walevi wengi wa chang'aa. By the way unapafahamu Nakuru? Unafahamu maeneo gani ya Nakuru?
 
chongchung πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ mko chini yetu milele, sio mimi ni world bank na KNBS nenda ukagombane naoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
View attachment 2248290
View attachment 2248291
View attachment 2248293
View attachment 2248292
View attachment 2248299
Kama una ubavu nioneshe sehemu WB wakisema mna hizo kilometers za paved roads, hiyo ni citation tu kama ulishawi kuandaa report utajua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Na hakuna mahali inasema ni paved roads, on top of that hizo statistics mbili zote zinatoa number tofauti 🀣

Msimamo wa WB ni huu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Screenshot_20220602-084334.png
 
Outside SA in Sub Saharan Africa, Kenya is second in real estate, vilaza hawapendi hii taarifa.
Vi estate vyenyewe c ndio hvyo vya upande upande na bati nyekundu juu ukiongeza angle kdg ushuzi unaonekana, estate za kweli zinajengwa Dodoma na itakuwa fundisho hapa Africa jinsi gani miji inapaswa kuwa.
 
Hiyo ni data mliotoa 2018 naona umeshapaniq πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Kumbe na wewe ni kilaza., so ukisoma hii opinion piece, kwa kujenga 1659 km in 2014/2015 na Macharia kusema wamerejea kumalizia 10,000 km un aona tatizo liko wapi? kwa vile 10,000km ndio ilikua lengo na by 2022 walitimiza hilo, Ruto anaye mpinga Kenyatta hiyo hapingi ndio pia anatumia ku campaign kama achievement ya Jubilee, liko wazi sana, barabara zimejengwa zaidi kupitia muhula wa rais Uhuru tena kwa muda mfupi kuliko marais watatu wa kwanza combined, na inaonekana., nyie pigeni nduru hadi basi πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

View attachment 2248303
 
Wakenya wengi wanakubali Uhuru ametengeneza barabara, kuna huyu jamaa on twitter amejaribu kureason kama bongolala amepewa maneneo vile inafaa. 🀣 🀣 🀣

 
Mm naweka picha za ka Nairobi wewe cjui unaweka picha za vijiji gani, tena zinaonekana ni za 60s, weka picha ya Dar watu wakigombea maji kama ka Nairobi
Huoni 2021 mahali, mnapenda kukana sishangaiπŸ˜‚πŸ˜‚, nyie mifukara kweli, yaani ata hiyo Dar inakaa 60s, nyumba za kishamba ulitegemea nini kaka?πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Kama una ubavu nioneshe sehemu WB wakisema mna hizo kilometers za paved roads, hiyo ni citation tu kama ulishawi kuandaa report utajua

Na hakuna mahali inasema ni paved roads, on top of that hizo statistics mbili zote zinatoa number tofauti

Msimamo wa WB ni huu

View attachment 2248312
Washikilie hapo hapo usiwaache mpk wakome kuongeza 0s
 
Kama una ubavu nioneshe sehemu WB wakisema mna hizo kilometers za paved roads, hiyo ni citation tu kama ulishawi kuandaa report utajua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Na hakuna mahali inasema ni paved roads, on top of that hizo statistics mbili zote zinatoa number tofauti 🀣

Msimamo wa WB ni huu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

View attachment 2248312
Tweet ya Ally Khan Satchu ni world bank? akili imechoka kama Mwanza πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Wewe Mlazy anayeitwa chongchung naona unaamini World Bank sana sasa kuja nikufunze hesabu. Kwenye hii report WB wanasema kwamba Kenya ina 39,000 kilometres of national roads na kwamba 77% of national roads ni paved by 2016. Sasa hebu piga hesabu what is 77% of 39,000.

1654181464761.png
 
Wewe Mlazy anayeitwa chongchung naona unaamini World Bank sana sasa kuja nikufunze hesabu. Kwenye hii report WB wanasema kwamba Kenya ina 39,000 kilometres of national roads na kwamba 77% of national roads ni paved by 2016. Sasa hebu piga hesabu what is 77% of 39,000.

View attachment 2248317
atapinga bado.., wanafikiria Uhuru alidanganya, wakenya hawangemuacha vyema, KOT wangenyorosha Uhuru na facts, ila barabara ziko na zinaonekana na zingine nyingi zinaendelea kukamilika..,
 
Back
Top Bottom