Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asante sana kwa kutaja World Bank., wacha tutumie report yao tuone.., munapata taabu sanaπŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ‘‡
Report imechapishwa 2020, data used ni za nyuma,..,
View attachment 2248188

World Bank wanakiri Kenya has superior road infrastructure zaidi ya majirani, licha ya challenges, hivyo ndio huwa wanasema kuhusu ufukara.,πŸ”₯πŸ”₯πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚
View attachment 2248189

More from World bank.., on Kenyan roads..,πŸ˜œπŸ˜œπŸ‘‡πŸ”₯πŸ”₯πŸ˜‚πŸ˜‚ in 2017/18 highway za Kenya was 18,500km!!
View attachment 2248191
View attachment 2248194
KNBS report 2018
View attachment 2248203
Umekamata maumbwa. Wacha tuone venye watajitetea coz World Bank inasema Kenya ina 39,995 km of national roads na 77% ya hii barabara ni paved. Jamaa afanye hesabu atueleze what is 77% of 39,995.
Cc chongchung
 
This won't save your face. I thought you were going to give me data about your country but you can't coz you know how terrible the situation is. But since this is the game you've wanted to play since yesterday, welcome onboard as long as I am avaible to play

Screenshot_20220602-173936~2.png
Screenshot_20220602-173837~2.png
Screenshot_20220602-174703~2.png
Screenshot_20220602-174645~2.png
Screenshot_20220602-173700~2.png
Screenshot_20220602-173606~2.png
Screenshot_20220602-174320~2.png
Screenshot_20220602-174127~2.png
Screenshot_20220602-173256~2.png
 
Umekamata maumbwa. Wacha tuone venye watajitetea coz World Bank inasema Kenya ina 39,995 km of national roads na 77% ya hii barabara ni paved. Jamaa afanye hesabu atueleze what is 77% of 39,995.
Cc chongchung
Tangu lini hawa wajinga wakajua hesabu? Ubishi za kijinga ndio wanajua
 
Tunajiandaa kuhost afcon 2027,Hapa tunawekeza kwenye miundombinu na kuandaa vipaji muda tunao...
Kwann Green city in the sun isiandae world Cup basi mtuzidi? Mnapenda sifa sana Wekeni mipango kama uwezo mnao...

Btw kuhusu kuzaliana kwann upate tabu wakati vyakula vyote tunawauzia nyie malazy?mahindi,mchele,maharage,vitunguu,nyanya, kama haitoshi tunawauzia na nishati ya Gas mpike ...wacha tuzaliane maana tunalima kwenye ardhi zenye rotuba
Bado nchi yetu ni kubwa sehemu nyingine hazijawahi hata kuguswa kwa matumizi yoyote.
 
This won't save your face. I thought you were going to give me data about your country but you can't coz you know how terrible the situation is. But since this is the game you've wanted to play since yesterday, welcome onboard as long as I am avaible to play

View attachment 2248322View attachment 2248323View attachment 2248324View attachment 2248325View attachment 2248326View attachment 2248327View attachment 2248328View attachment 2248329View attachment 2248330
Tufanye hivi lete article ya kuanzia mwaka 2015 inayoonesha shida ya maji Dar na mm nilete ya Nairobi usiweke picha za vijijini wkt mm naweka picha za ka Nairobi.
 
This won't save your face. I thought you were going to give me data about your country but you can't coz you know how terrible the situation is. But since this is the game you've wanted to play since yesterday, welcome onboard as long as I am avaible to play

View attachment 2248322View attachment 2248323View attachment 2248324View attachment 2248325View attachment 2248326View attachment 2248327View attachment 2248328View attachment 2248329View attachment 2248330
Tatizo lao they want us to believe Dar or Tz is more paradise than Kenya, lakini ufukara wao haufichiki, umesambaa kwa upana, in Kenya u hardly see poverty at first glance, ata in Nairobi itabidi utafute slum ama uulize upelekwe not like Dar ukiwa kwa ndege ufukara unaonekana wazi wazi umetapakaa sehemu kubwa ya jiji.,
1654182139321.png
 
Kama una ubavu nioneshe sehemu WB wakisema mna hizo kilometers za paved roads, hiyo ni citation tu kama ulishawi kuandaa report utajua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Na hakuna mahali inasema ni paved roads, on top of that hizo statistics mbili zote zinatoa number tofauti 🀣

Msimamo wa WB ni huu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

View attachment 2248312
Hio sio citation. Hio ni report ya World Bank. Na kuna sentensi imezungumza kuhusu paved roads unless wewe ni kipofu.
 
Okay, mim silii kwamba data zenu ni fake..na sitegemei excuses nyingine sasa kutoka kwenu πŸ˜‚πŸ˜™
hapa mnakubali au mnabisha .. hio data ya mwisho ni report ya 2019 kama yenu
View attachment 2247644
Okay, mim silii kwamba data zenu ni fake..na sitegemei excuses nyingine sasa kutoka kwenu πŸ˜‚πŸ˜™
hapa mnakubali au mnabisha .. hio data ya mwisho ni report ya 2019 kama yenu
View attachment 2247644
Bado ni kidogo sana. Tony254 don't let these people to harass you.
Screenshot_20220602-180332.png
 
Huyu co wewe umesema Uhuru ameongopa?View attachment 2248335
That is me, kwa vile najua miradi mingi ya barabara zenye Uhuru alizo kamilisha alipata zikiendelea na kwa hivyo amejumuisha kwa number yenye yeye alianzisha fresh.., my point is Kenya iko na 23,000km of paved roads, whether Uhuru alijenga 10,000km fresh or 5,000km zakee pekee, haibadilishi kauli yangu., I am a logic and critical thinker nanii.., kama kutoka Kisumu, Kakamega, Kitale to Lodwar heading to South Sudan mimi najua ni project ya Kibaki ila Uhuru amekamilisha, lazima amejumuisha kwa zake.
 
This won't save your face. I thought you were going to give me data about your country but you can't coz you know how terrible the situation is. But since this is the game you've wanted to play since yesterday, welcome onboard as long as I am avaible to play

View attachment 2248322View attachment 2248323View attachment 2248324View attachment 2248325View attachment 2248326View attachment 2248327View attachment 2248328View attachment 2248329View attachment 2248330
Hizi articles zote ni recent na zinaongelea water shortage in ka Nairobi, kwnn unakuwa mbishi mpumbavu unayetaka kubisha kila kitu? Hivi Kenya ni ya kushindana na Tz kwenye suala la maji safi na salama? Ubishi wa kitoto huu naachana na wewe.
Screenshot_20220602-180251.jpg
Screenshot_20220602-180320.jpg
Screenshot_20220602-180336.jpg
Screenshot_20220602-180353.jpg
Screenshot_20220602-180410.jpg
 
Vi estate vyenyewe c ndio hvyo vya upande upande na bati nyekundu juu ukiongeza angle kdg ushuzi unaonekana, estate za kweli zinajengwa Dodoma na itakuwa fundisho hapa Africa jinsi gani miji inapaswa kuwa.
Google earth msema ukweli ilnaonyesha vizuri sana how well planned and organized our estates are na modern housing, sio kama zile zenu za vasco da gama 80% ya sehemuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, sisi hatuweki angles za kupotosha na upande upande, tunamwaga sehemu kubwa na pana kupitia google earth yenye wewe unaweza ukadhibitisha, mambo ya angle angle tumewaachia nyie fukara mtumie kuficha aibu kwa vile mkichukua picha wide angle ni aibu tupu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Tatizo lao they want us to believe Dar or Tz is more paradise than Kenya, lakini ufukara wao haufichiki, umesambaa kwa upana, in Kenya u hardly see poverty at first glance, ata in Nairobi itabidi utafute slum ama uulize upelekwe not like Dar ukiwa kwa ndege ufukara unaonekana wazi wazi umetapakaa sehemu kubwa ya jiji.,
View attachment 2248340
Kwahiyo hizi nyumba na zile zenyu za mabati na mito ya kinyesi ikikatiza katikati zipi mbovu? Halafu hizi ni za kitambo kumbuka, zenyu ni recently brother.
 
Leo pia nmekutana na mzungu wa Austria, alikuwa ananiuliza kama anaweza kupata passport ya Tz, hii ilitokea baada ya mtz kupita karibu yake, jamaa akauliza hii passport ya Tz nzr sn naweza kuipata? Nikamwambia huwezi kuipata mpk uwe mtz, jamaa akauliza nawezaje kuipata hii passport? nikamwambia mpk uifatilie lkn kaa ukijua kama utaipata hio passport ujue fika umeukana uraia wako, yule mzungu akasema nipo tayari kuukana uraia wangu nipate kuwa mtanzania, daaah nilishangaa sana wakuu.
Ulimwambia kutumia lugha gani? Juu kingereza hujui.
 
Back
Top Bottom