The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Asisahau timu ya wanawake inaenda World cup soon.Timu yetu ya viwete inacheza world cup ya kwenu iko wapi?
Asisahau timu ya wanawake inaenda World cup soon.Timu yetu ya viwete inacheza world cup ya kwenu iko wapi?
Weka link tusome hio report bana hatuna shida ya internet sisi.
Tony unafikiri mpaka serikali yenu iweke ultra modern/ self adjusting/non load bearing wall pale uhuru park na jinvanjee moja wapo ya sababu ilikua nini?Iko nchi hii dunia yenye watu wanaopenda kupigana kende kushinda Tanzania? Hio ndio national sport yenu na ndio maana mnafeli kwenye michezo zote isipokuwa hilo. Halafu eti mnataka kuhost Afcon na jinsi taifa stars huwa mbovu kwenye mpira.
Nioneshe double decker bullet train with double stacking wagons niondoke jf.Sahivi hamtaki tena muoneshwe 1m of electrifitried SGR![]()
This is why I didn't want to tackle that list yule kilaza mwenzako alileta hapa jana coz I knew these are the kind of responses I would receive. Always denying everything!Statistics ambazo hata wewe mwenyewe kwa maneno yako hapo unaonekana huzikubali![]()
Hatujawahi pinga hiyo ripoti hata siku moja. Kama uko na udhahidi weka hapa tuone. Hiyo ripoti inasema 40% ya wakenya wanaishi in extreme poverty. What we always do ni kufanya hesabu ya 40% ya wakenya tulinganishe na nchi zingine za Africa, Tanzania ikiwemo. That's what we've always done with that report. Us Kenyans we don't thrive on denial like you do.Mbona WB wakisema Kenya poorer than Zimbabwe huwa mnapinga then au wakisema Tanzania real estate is bigger than Kenyan real estate pia mnapinga ili hali ripoti hizo zote ni za vyombo mnavyoviamini?
Asante sana kwa kutaja World Bank., wacha tutumie report yao tuone.., munapata taabu sana😂 😂 😂 😂 😂 😂 👇Tumwamini WB tumuamini kunyata 🙄
View attachment 2248133View attachment 2248134View attachment 2248135View attachment 2248136
Access to clean water indeedThis is why I didn't want to tackle that list yule kilaza mwenzako alileta hapa jana coz I knew these are the kind of responses I would receive. Always denying everything!
Sasa Kama nimeshaguzia tu moja na already ushakana sasa ya nini kupoteza muda na watu wajinga? Na jana wewe ndio ulikuwa wa kwanza kusema nijibu ile list! SMH!




Outside SA in Sub Saharan Africa, Kenya is second in real estate, vilaza hawapendi hii taarifa.Hatujawahi pinga hiyo ripoti hata siku moja. Kama uko na udhahidi weka hapa tuone. Hiyo ripoti inasema 40% ya wakenya wanaishi in extreme poverty. What we always do ni kufanya hesabu ya 40% ya wakenya tulinganishe na nchi zingine za Africa, Tanzania ikiwemo. That's what we've always done with that report. Us Kenyans we don't thrive on denial like you do.
Secondly, ripoti ya real estate inaongelea kuhusu VALUE ya real estate ya Dar not magnitude. There's nowhere that report mentions Tanzania or even ukubwa. It only mentions Dar and Nairobi. Get your facts right
It looks beautiful and very practicalI like the view of the future NAIROBI RAILWAY CITY LANDView attachment 2248164View attachment 2248168View attachment 2248169View attachment 2248171
Nioneshe double decker bullet train with double stacking wagons niondoke jf.



Sasa tubaki na World bank as a reputable source kwa sasa ya kunyamazisha vilaza bin mikwara humu, nafurahi sana wanavyoteseka wakijaribu kupingana na facts, raha😂😂😂😂😂😂 So which report was that eti 40%? and which year, coz latest news from World bank outlook report puts Kenya above Tz, Tanzania ni fukara tu sana 😂 😂Hatujawahi pinga hiyo ripoti hata siku moja. Kama uko na udhahidi weka hapa tuone. Hiyo ripoti inasema 40% ya wakenya wanaishi in extreme poverty. What we always do ni kufanya hesabu ya 40% ya wakenya tulinganishe na nchi zingine za Africa, Tanzania ikiwemo. That's what we've always done with that report. Us Kenyans we don't thrive on denial like you do.
Secondly, ripoti ya real estate inaongelea kuhusu VALUE ya real estate ya Dar not magnitude. There's nowhere that report mentions Tanzania or even ukubwa. It only mentions Dar and Nairobi. Get your facts right
Unapata taabu sana 😂 😂 😂 😂 😂 😂Ongea kisomi, sema kuna gravel, moram and bitumen, Uhuru kachanganya zote kwenye hiyo 10k zake and majority ni gravel, simple 😎
Kwani highway lazima ziwe paved? 😂😂😂😂Asante sana kwa kutaja World Bank., wacha tutumie report yao tuone.., munapata taabu sana😂 😂 😂 😂 😂 😂 👇
Report imechapishwa 2020, data used ni za nyuma,..,
View attachment 2248188
World Bank wanakiri Kenya has superior road infrastructure zaidi ya majirani, licha ya challenges, hivyo ndio huwa wanasema kuhusu ufukara.,🔥🔥😜😜😜😂😂
View attachment 2248189
More from World bank.., on Kenyan roads..,😜😜👇🔥🔥😂😂 in 2017/18 highway za Kenya was 18,500km!!
View attachment 2248191
View attachment 2248194
KNBS report 2018
View attachment 2248203
Bado hujashtuka hizi 8000 kilometers ni gravel? 🤣Unapata taabu sana 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Linyani halioni kundu lake, unasahu ikija ufukara, yenu ni mapana na marefu, pia google earth ita dhibitisha 😂 😂 😂 😂 😂
Kumbe zenu ni vumbi? 😂 😂 😂 😂 ., mtalilia kwa choo huu mwaka na kuendelea hadi mwisho wa dunia😂😂😂😂😂Kwani highway lazima ziwe paved? 😂😂😂😂
The same statistics from government authorities 😂😂😂Kumbe zenu ni vumbi? 😂 😂 😂 😂 ., mtalilia kwa choo huu mwaka na kuendelea hadi mwisho wa dunia😂😂😂😂😂
2018 paved ni 18,655km, dadeki🔥🔥🔥🔥
View attachment 2248284