Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Okay, mim silii kwamba data zenu ni fake..na sitegemei excuses nyingine sasa kutoka kwenu 😂😙
hapa mnakubali au mnabisha .. hio data ya mwisho ni report ya 2019 kama yenu
View attachment 2247644
Data ya KRA ndio sina. Lakini nikiipata nitaiweka kwa sababu wewe umetumia TRA. Data niliyotumia sio ya KRA. Anyway for now nitakubali hii data yako until nipate data ya KRA. Wacha nilale kesho pia ni siku.
 
Tony254 kuja uokoe jahazi, yn tumewapiga gape kubwa mno mpk aibu kulinganisha
Hata ikiwa kwamba ni kweli mna more registered vehicles sasa cha kushangaza hapo ni nini? Nyie mpo watu 62 million wakati sisi tupo watu 50 million. Kumbuka bado sina data ya KRA au KNBS.
 
Hata ikiwa kwamba ni kweli mna more registered vehicles kwamba cha kushangaza hapo ni nini? Nyie mpo watu 62 million wakati sisi tupo watu 50 million
Nyinyi mmetuzidi, yn nyinyi mpo wengi kuliko sisi, mnapigana miti mpk kwenye recreational parks unategemea cc tuwe wengi kuliko nyie? Kwa ss nyie mpo milioni 70 kama unabisha ngoja statistics mpya
 
Leo nmekutana na mburundi pale JNIA, nikamuuliza unamis nn toka Tz akasema namis mambo mengi sana ikiwemo ukarimu na jinsi nchi yenu ilivyo nzuri.

Nikamuuliza umetembelea nchi gn ya East Afrika ukiacha Tz akasema Kenya, nikamuuliza nn tofauti ya Kenya na Tz akasema tofauti ni kubwa sana, Tz ni tamu sana I wish niwe mtz yn Wakenya hapana jamani na wezi sijawahi ona alafu huu uwanja wenu wa ndege hakuna wizi kabisa ila JKIA haaaa!!! Ukiacha mzigo wako umekwenda pia customer service ya Kenya ni mbovu mno. Ofcz Tz ni nchi ambayo sina cha kuongea zaidi ya kuangalia kama naweza kupata kuwa mtz.
 
Freedom of expression haipo kwa institution responsible for holocaust! Pitia International laws uone maadhimio dhidi ya idolization of symbols of perpetration of crime against humanity!


Katiba yenu itakuwa ya Kipumbavu kama itakuwa inaruhusu hili!
Nimepitia na hakuna mahali wametaja anyone's name. In fact hio report inaanza na kukubali freedom of expression. Hakuna mahali wameandika idolization of symbols, wewe unaropokwa tu.

PP1 Reaffirming the purposes and principles enshrined in the Charter of the United Nations as well as the Universal Declaration of Human Rights, which proclaims that everyone is entitled to all the rights and freedoms set forth therein, without distinction of any kind, such as, inter alia, race, religion or other status, and the International Covenant on Civil and Political Rights, which state that everyone has the right to freedom of thought, conscience and religion.
 
Leo nmekutana na mburundi pale JNIA, nikamuuliza unamis nn toka Tz akasema namis mambo mengi sana ikiwemo ukarimu na jinsi nchi yenu ilivyo nzuri.

Nikamuuliza umetembelea nchi gn ya East Afrika ukiacha Tz akasema Kenya, nikamuuliza nn tofauti ya Kenya na Tz akasema tofauti ni kubwa sana, Tz ni tamu sana I wish niwe mtz yn Wakenya hapana jamani na wezi sijawahi ona alafu huu uwanja wenu wa ndege hakuna wizi kabisa ila JKIA haaaa!!! Ukiacha mzigo wako umekwenda pia customer service ya Kenya ni mbovu mno. Ofcz Tz ni nchi ambayo sina cha kuongea zaidi ya kuangalia kama naweza kupata kuwa mtz.
Piga nduru vizuri.
 
Leo pia nmekutana na mzungu wa Austria, alikuwa ananiuliza kama anaweza kupata passport ya Tz, hii ilitokea baada ya mtz kupita karibu yake, jamaa akauliza hii passport ya Tz nzr sn naweza kuipata? Nikamwambia huwezi kuipata mpk uwe mtz, jamaa akauliza nawezaje kuipata hii passport? nikamwambia mpk uifatilie lkn kaa ukijua kama utaipata hio passport ujue fika umeukana uraia wako, yule mzungu akasema nipo tayari kuukana uraia wangu nipate kuwa mtanzania, daaah nilishangaa sana wakuu.
 
Leo pia nmekutana na mzungu wa Austria, alikuwa ananiuliza kama anaweza kupata passport ya Tz, hii ilitokea baada ya mtz kupita karibu yake, jamaa akauliza hii passport ya Tz nzr sn naweza kuipata? Nikamwambia huwezi kuipata mpk uwe mtz, jamaa akauliza nawezaje kuipata hii passport? nikamwambia mpk uifatilie lkn kaa ukijua kama utaipata hio passport ujue fika umeukana uraia wako, yule mzungu akasema nipo tayari kuukana uraia wangu nipate kuwa mtanzania, daaah nilishangaa sana wakuu.
Tanzania 1st,Tanzania forever,Tanzania always in our hearts najivunia kuzaliwa na kuwa mtanzania viva siempre Tanzania!
 
One reason I love Kenya is that you can freely express your self bila kusumbuliwa na mtu. YES WEKA LAWAMA.
Image

Image
Stupid society
 
Back
Top Bottom