Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,388
- 5,791
I pity your education.Tumwamini WB tumuamini kunyata 🙄
View attachment 2248133View attachment 2248134View attachment 2248135View attachment 2248136
Barabara za aina zote hapa Kenya ni zaidi ya 150,000 kms. Sasa kalilie chooni.Ongea kisomi, sema kuna gravel, moram and bitumen, Uhuru kachanganya zote kwenye hiyo 10k zake and majority ni gravel, simple 😎
Nimekuambia niletee launched projects za barabara zenye angalau urefu wa kilometers 1000, 2 tu kwa mkupuo.Hata tarmac roads zina category tofauti au unapinga hilo?
Nikiguzia tu swala la maji kwa mfano, 59% of Kenyans have access to safe drinking water according to UNICEF.Kifanye kipengele cha 6) Peace, security and tranquillity
Tunajiandaa kuhost afcon 2027,Hapa tunawekeza kwenye miundombinu na kuandaa vipaji muda tunao...Iko nchi hii dunia yenye watu wanaopenda kupigana kende kushinda Tanzania? Hio ndio national sport yenu na ndio maana mnafeli kwenye michezo zote isipokuwa hilo. Halafu eti mnataka kuhost Afcon na jinsi taifa stars huwa mbovu kwenye mpira.
I like the view of the future NAIROBI RAILWAY CITY LAND
I asked for a link, not a screenshot but it's ok
Eti kwambaWe mpumbavu ndiyo ukae kimya kabisa, huna darasa kichwani reasoning zako ni za kihuni, sitashangaa kama utakuwa mnusa gundi wa mathare wewe.
Narudia tena... pongezi kwa Babu wa Loliondo kwa kuwapa uwezo wa kujua kindani watu usiowajua wala hutowahi kukutana nao maishani mwako. He did a great job 😂Akili bila mali au kazi ni sawa na umebeba mavi kichwani, zinakusaidia nn sasa kama huna kitu? Una akili alafu hujasoma so hizo akili zimekusaidia nn au uli prove wapi kwamba una akili? Au nyanyaako alikuambia una akili basi na wewe ukaamini![]()
Sasa nyie mnaopigana kende mpaka hadharani kwenye recreational parks inamaanisha vyumba vyote vinatumikaIko nchi hii dunia yenye watu wanaopenda kupigana kende kushinda Tanzania? Hio ndio national sport yenu na ndio maana mnafeli kwenye michezo zote isipokuwa hilo. Halafu eti mnataka kuhost Afcon na jinsi taifa stars huwa mbovu kwenye mpira.




Na pundaNa malori pia kama Bus![]()
Wewe inaelekea unafuatilia sana Tanzania hadi sehemu inayoitwa kwa mpalange unapajua!Mtazaaje mkiingiliana kwa mpalange?




🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tony kumbe unajua full ingredients 🤣🤣🤣Hawa wapika chang'aa huwa wanatia chupi za wanawake, vitambaa vya hedhi na methanol ndani ya mitungi ya chang'aa ili kukoleza mchuzi, ili mchuzi wa chang'aa uwe rojo rojo.
Statistics ambazo hata wewe mwenyewe kwa maneno yako hapo unaonekana huzikubaliNikiguzia tu swala la maji kwa mfano, 59% of Kenyans have access to safe drinking water according to UNICEF.
But as usual, you and your gang will spend the next two days disputing this data. Bitter souls!![]()
Water, Sanitation and Hygiene
Improving children’s access to water, sanitation and hygienewww.unicef.org









Timu yetu ya viwete inacheza world cup ya kwenu iko wapi?Hawa watu hata wakipewa fursa ya kuhost Afcon bado watabanduliwa tu kwenye group stages. Wanapoteza pesa bure kujenga stadiums ilhali taifa stars ni gofu la timu ambalo haliwezi kushinda hata team ya viwete.
Mbona WB wakisema Kenya poorer than Zimbabwe huwa mnapinga then au wakisema Tanzania real estate is bigger than Kenyan real estate pia mnapinga ili hali ripoti hizo zote ni za vyombo mnavyoviamini?Eti mtu anapinga ripoti za UN, WB, IMF alafu anataka tukubaliane na mawazo yake potovu. The funny part is that the same organisations wakisema kitu chochote kizuri kuhusu nchi yao they are so quick to praise such reports! Kwa kweli hawa ni vilaza wala hujadanganya