Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
all the bestSanasana mradi uliochelewa ni phase1 ambao uko financed na GoT ,izo phase zingine naona hazijadelay
all the bestSanasana mradi uliochelewa ni phase1 ambao uko financed na GoT ,izo phase zingine naona hazijadelay
Nyie Wakunya mbona ni watu wa ajabu sana, data si ushawekewa unataka nini tena? Mkizidiwa muwe mnakubali msitafute visingizio vya kipumbavu.Leta data za TRA tuone kijana. Wewe dwanzi ni mtu wa kunipa maumivu? Labda mkeo Kama umeoa
Eti mtu anapinga ripoti za UN, WB, IMF alafu anataka tukubaliane na mawazo yake potovu. The funny part is that the same organisations wakisema kitu chochote kizuri kuhusu nchi yao they are so quick to praise such reports! Kwa kweli hawa ni vilaza wala hujadanganyaHawa ni vilaza, hawpendi ukweli ata ushushe picha from google earth showing how Tanzania looks like wao watapinga tu, very poor country out of their own ignorance.,
Akili bila mali au kazi ni sawa na umebeba mavi kichwani, zinakusaidia nn sasa kama huna kitu? Una akili alafu hujasoma so hizo akili zimekusaidia nn au uli prove wapi kwamba una akili? Au nyanyaako alikuambia una akili basi na wewe ukaaminiNiko na akili, something that you don't have












hawafurahii mujue 🤣🤣🤣
Imeisha hiyo .Tumwamini WB tumuamini kunyata 🙄
View attachment 2248133View attachment 2248134View attachment 2248135View attachment 2248136
Kuna infrastructures kibao za kisasa zipo Dar lkn hakuna infrastructure yoyote ya kisasa ipo Nairobi unataka kushindana kwenye nn?Kufanana bado nairobi ii mbele kushinda dar
Sahivi hamtaki tena muoneshwe 1m of electrifitried SGRZile kelele za double decker kwisha.








Hata tarmac roads zina category tofauti au unapinga hilo?Ongea kisomi, sema kuna gravel, moram and bitumen, Uhuru kachanganya zote kwenye hiyo 10k zake and majority ni gravel, simple 😎
Huyu alishakuja bongo mwaka jana nn cha ajabu 😅Piga nduru vizuri, mauro icardi is in town.View attachment 2248137View attachment 2248138