Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,598
- 15,703
Najua kiingereza hukielewi vizuri. Ungeelewa wala haungesumbuka kutoa povu kwa hiyo comment yanguUnatakiwa upinge kwa hoja kwamba hayo aliyo mention joto la jiwe ni uongo na sio kutumia hasira.
Najua kiingereza hukielewi vizuri. Ungeelewa wala haungesumbuka kutoa povu kwa hiyo comment yanguUnatakiwa upinge kwa hoja kwamba hayo aliyo mention joto la jiwe ni uongo na sio kutumia hasira.
Ninyi na uhuru wenu endeleeni kudanganyana na kujifariji kwenye hamna ila mnapolileta hapa JF sio kila mtu ni mkenya wa kudanganywa kijinga!Unapoteza bundles bure kufukua haya mambo. Naona unaumwa sana na habari hii iliyotolewa na Uhuru jana.
Treasury hapa inaonesha shillings ngapi? 😂😂😂😂Wacha ujinga. Leta evidence kwamba Uhuru ametumia ksh 300 billion kwa barabara in 9 years.
Tunaongelea habitable area ni ndogo kama Rwanda na hizo 10k road network mmezijenga wapi kwenye hako kasehemu mnapoishi.Kenya ni zaidi ya nusu ya Tanzania kwa ukubwa. Nadhani ulifeli kwenye somo la jiografia. Kenya ni 580,000 sq kms.
Hapa uliwadaka kweli kweli na hakuna wa kuku challengeHii ni data kichaa tu kama wewe ndio anaweza kuiamini na imetolewa na treasury yenu
View attachment 2247901View attachment 2247903View attachment 2247904








Haweki pua hapoCan we please go through each item one by one and find out which country is better than another?
1)Food availability
2)Water availability
3)Shelter(housing)
4)Jobs for it's people
5)Health service availability
6)which citizens are in peace
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app



Endelea kuabudu kingereza wkt kazi ya mana huna, pesa huna, elimu hunaNajua kiingereza hukielewi vizuri. Ungeelewa wala haungesumbuka kutoa povu kwa hiyo comment yangu








Tushakunywa na kuku tunakula











Babu wa Loliondo naona aliwapa hadi uwezo wa kujua hadi random people on the internet 👏 👏 👏Endelea kuabudu kingereza wkt kazi ya mana huna, pesa huna, elimu huna![]()
Tunakula kuku maziwa chakula cha watoto

Ulimwambiaje ukiitisha maziwa? 😂 😂
Hizi picha Kali sana, umezitoa wapi wewe mbwa soja.Daima Tz hatuwezi kutumia kitu ambacho hakijaisha, sisi huwa tunasubiri iishe zen ndio tutumie, Kenya is the only country in the world that has been using unfinished projects kama unavyoona hapa chiniView attachment 2247821View attachment 2247823View attachment 2247824View attachment 2247825
Kilometer 10000 zinajengwa kwa billion 300 means each kilometer million 3 😂😂😂😂 hapo na compensation tayari 🤣🤣🤣 ni vichaa tu kama ninyi ndio mtaamini huu upumbavuAbsolutely, haudanganyi mtu dunia ya leo, zinaonekana, ila zingine sio zake zilikua za Kibaki aliacha zikiendelea, kama from Kisumu, Kakamega up to Turkana( South Sudan border) na jua hiyo hesabu amejumuisha kwa yake na zingine pia.., hapo ndio naeza sema uongo wake upo lakini sio km zilizo kamilika..,
Hicho chakula cha watoto ndio mnapenda zaidi 😂Tunakula kuku maziwa chakula cha watoto![]()
Sijapata kuona nchi ya ajabu kama hii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Topestan Breweriesau Distillation
![]()
Mkunya dawa yake nikuingia nae kwa ground 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii data ni kutoka kwenye authorities zenu, kwa akili yako kilometers 2000 za lami zinaweza kujengwa kwa bei rahisi kuliko kilometers 700
Na kuna uwezekano wa kujenga kilometers 8000 kwa miaka mitatu?
View attachment 2247810View attachment 2247811
Huna lolote wewe usitake kujipiga kifua hapaBabu wa Loliondo naona aliwapa hadi uwezo wa kujua hadi random people on the internet![]()
![]()
![]()










Wivuuu 😂 😂 😂 😂Kwa standard za Kenya hiyo ndiyo imeisha hiyo, kwani hapo nimeweka miradi mingapi ambayo haijakamilika mpaka leo na inatumika? Kenya is simply a failed state and a shit hole ever.