Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Angalia mazingaombwe ya kilometers za kunyata 2000 kilometers of paved roads is less expensive than 700 kilometers

Numbers nev lie
Wakunya sijui ufala wa kudanganywa na viongozi wenu utaisha lini

View attachment 2247784
Hawa paved nadhani wanahesabu barabara zilizochongwa za vumbi. Ndio maana inaleta mkanganyiko huu wote hapa.
 
Tony254 naomba ufafanuzi tasavali

Ujasiri wa kujenga kilometers 8000 kwa miaka mitatu mnautoa wapi?

Kunyata kweli kawa weka kwapani, hata akili ya kujiuliza hizo paved roads kwa grounds ziko wapi hamna!
View attachment 2247785
Tafadhali naomba uitunze hii kwa matumizi ya baadaye, na usidhani kwamba hawajui kuwa uhuru anawaongopea, wanajuwa fika ila wakiwa twitter ndio uwanja wao wa kilio
 
Tony254 mwambie Rais wako akiwa muongo awe basi na kumbukumbu

Sio unakua na uongo wa zettabytes, ubongo wa kuku

View attachment 2247787
Hizi data za mchongo Kenya ziko across the board mpaka kwenye GDP data kwahiyo sioni ajabu. Halafu mjue huu ni mwaka wa uchaguzi hence projections of rosy figures to fool voters.
 
Kenya mumesema mtapeleka jeshi DRC kupambana na makundi yenye silaha, nendeni Sasa Kama kweli mnaweza, wacha kulialia. Kila kitu mnakimbilia GDP mnadhani ndio kitu cha maana, haya Sasa ninyi wenye GDP kubwa kuwazidi Rwanda pelekeni wazembe wenu wa KDF muone watakavyocharazwa na kudhalilishwa na RPF

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wewe kwani hujui kwamba kuna Quick reaction force ya KDF huko DR Congo? Hujui lolote kuhusu Kenya lakini unapiga mdomo kama kasuku.
 
This is at least realistic compared to the world bank data

🙄 Astonishing is the same government popping up all these unmatchable statistics within hours of interval differences 😂

View attachment 2247791View attachment 2247793
As at 2018 naona hii report iko sahihi kabisa., Kama by 2022 Kenya iko na 23,000 km paved roads, hiyo itakua only 13% tarmacked ya total road network which is around 160,886., so kwa sasa tutasema over 85% of Kenyan roads are not tarmacked. Sioni la ajabu hapo., na haibadilishi ukweli, still Kenya has most tarmacked roads in East and central Africa. Mko hovyo sana.., kwa vile mko na network chache, whether tarmackesd or not, ina maana sehemu kubwa ni pori tu., kwa vile kwenu ni 86,472km of road network., yaani kwa sasa in Tanzania 90% of road network haiko tarmacked. Wakati mwingine jifunze kufanya utafiti nawewe 😂 😂 😂 😂
1654151851614.png
 
Back
Top Bottom