ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
nani anaongea kishabiki au kipi nisichokijua mombasa ??🤣🤣 mombasa ni mji wa ovyo kabisa yani hauna hadhi ya kuitwa city mark my words, ukweli ni mchungu lakini vumilia bro, mji hauko hata kwenye modern cities, mji uko vile vile miaka nenda miaka rudiUmeongea kishabiki sana. Mwanza ndio mji wenu wa pili kama ilivyo Mombasa huku kwetu. Hebu nitajie maendeleo ambayo ipo Mwanza haipo Mombasa kwa sababu nasikia Mwanza nayo ni 'jiji'



