Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nani anaongea kishabiki au kipi nisichokijua mombasa ??🤣🤣 mombasa ni mji wa ovyo kabisa yani hauna hadhi ya kuitwa city mark my words, ukweli ni mchungu lakini vumilia bro, mji hauko hata kwenye modern cities, mji uko vile vile miaka nenda miaka rudi
Bado unaongea tu kishabiki kama alibyoongea yule kilaza mwenzako wa kwanza. Nishakubali Mombasa ni ovyo wala haiitaji kuitwa city, Sasa nataka uniambie maendeleo ambayo ipo Mwanza (ambayo ndio inafaa hadhi ya jiji) na hakipo Mombasa. Hii maneno mengi bila evidence haitakusaidia chochote
 
Hapo sio Tanzania maduka yetu hatuandiki kwa kiingereza. Sijui hair saloon, half cut narudia tena hatuna lugha hizo kwenye maduka yetu
Ni kweli kabisa maduka yenu hamuandiki kwa kiingereza. Hizi hapa naona zimeandikwa kwa kinyamwezi.
maxresdefault (2).jpg
Screenshot_20220531-224123~2.png
Screenshot_20220531-223820~2.png
Screenshot_20220531-223601~2.png

At this rate, Tanzanians you'll even deny your own existence!
 
Hizi ni dalili za kuzidiwa. Hakuna picha hata moja nimepost ya highway. Picha zote nimepost ni za Mombasa cbd and this is one of them. Is this a highway?
View attachment 2246295
Ama maana ya highway ndio hajui?
hebu nitajie hio barabara inaitwaje ?? 😂😂 hio ni main road and not street usitafute chaka budaa kama umelewa sema tukuache

so ikiwa CBD ndio inakua sio main road au??

siku utapata streets za level ya mwanza nitag nifunge acc😂😂 ww huna kitu utanidanganya kuhusu huo mji wa ovyo kbisa unaitwa mombasa
 
Bado unaongea tu kishabiki kama alibyoongea yule kilaza mwenzako wa kwanza. Nishakubali Mombasa ni ovyo wala haiitaji kuitwa city, Sasa nataka uniambie maendeleo ambayo ipo Mwanza (ambayo ndio inafaa hadhi ya jiji) na hakipo Mombasa. Hii maneno mengi bila evidence haitakusaidia chochote
😂👇👇👇
hebu nitajie hio barabara inaitwaje ?? 😂😂 hio ni main road and not street usitafute chaka budaa kama umelewa sema tukuache

so ikiwa CBD ndio inakua sio main road au??

siku utapata streets za level ya mwanza nitag nifunge acc😂😂 ww huna kitu utanidanganya kuhusu huo mji wa ovyo kbisa unaitwa mombasa
 
Kwa lile tuta la Kituo cha mwendokasi Bongo Kama lorry litagonga kwa namna hiyo abiria watakua safe. Ila kwa hapo ni hatari sana. Kama kungekua na abiria na vioo ndio vingekua visu na kukata abiria wanaosubiri humo ndani.
Umesahau vioo vya gari ni shutterproof
1654027889843.png
 
Hizi ni dalili za kuzidiwa. Hakuna picha hata moja nimepost ya highway. Picha zote nimepost ni za Mombasa cbd and this is one of them. Is this a highway?
View attachment 2246295
Ama maana ya highway ndio hajui?
Uzuri nipo Mwanza 😂😂 utatataga 👇 yani unapost walk ways.? Ulifkir Mwanza hakuna .? Mwanza is beautiful and clean (The tanzania's cleanest city) nakuwekea picha bila filter wala nini.. hiyo mombasa ni uchafu tu mbele ya Mwanza
IMG_20220526_171441_934.jpg
IMG_20220526_171328_747.jpg
IMG_20220526_171401_391.jpg
IMG_20220526_171404_668.jpg
IMG_20220526_171352_448.jpg
IMG_20220523_165846_843.jpg
IMG_20220523_162820_449.jpg
walk ways Mwanza zipo hadi mitaani uko
 
hebu nitajie hio barabara inaitwaje ?? 😂😂 hio ni main road and not street usitafute chaka budaa kama umelewa sema tukuache

so ikiwa CBD ndio inakua sio main road au??

siku utapata streets za level ya mwanza nitag nifunge acc😂😂 ww huna kitu utanidanganya kuhusu huo mji wa ovyo kbisa unaitwa mombasa
Nashangazwa sana na hawa wakenya aisee 😂😂 mji wa mombasa ni wa watu lazy na .askini kwa kiwango kikubwa, wanataka walinganishe na Mwanza 😂😂. Labda kwa interchange na bandari tu watashinda hiyo battle
 
Back
Top Bottom