Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,758
Wacha ujinga wewe hiyo slogan imetumika juzi na NALA ukinionyesha mobile company ya Kunyaland ikitumia hiyo nahama humu! Ni kama neno #vunjabei# wakunya mme-copy! Au #Msafi#!Wewe wacha ujinga. Sentensi "Tuma na ya kutolea au tuma na ya kutoa." Ilianza Kenya. Kumbuka Mpesa ilivumbuliwa Kenya na sio Tanzania. Mpesa ilivumbuliwa Kenya na Safaricom April 2007. Technolojia hii ilizinduliwa Tanzania mwaka mmoja baadaye mwanzoni mwa 2008. Kwa hivyo sentensi hio ilitumika Kenya sana kabla hata teknolojia hio haijafika huko kwenu.
View attachment 2245085
View attachment 2245082