ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
kazi ya BRT ni kutoa service kwanza alaf faida baadae 👇👇👇👇How much does Tanzanian BRT make in a day?
kazi ya BRT ni kutoa service kwanza alaf faida baadae 👇👇👇👇How much does Tanzanian BRT make in a day?
kua na biggest port haina maana kwamba inamaendeleo inaeza kua ina big port lakini iko nyuma kimaendeleo kwa miaka 100🤣🤣 hvi ww hujui kama kiuhalisia mombasa ilitakiwa kua mbali sana kuliko nairobi ?? hvi mombasa kuna maendeleo gani over 50yrs now??😂😂😂😂 ikiwa port yenyewe sahii inakufa, mombasa kuna maendeleo gani ????Unaropokwa kwamba city ambayo ina 5th biggest port in Africa haistahili kuitwa city?
akikuonesha nitag plz 🤣🤣🤣🤣Nioneshe slum 1 Mwanza nikuoneshe slums 100 Mombasa 🤣🤣🤣
hio sio BRT hayo ni machuma tu yamegongwa 😂😂😂BRT imeanza kugongwa kabla haijaisha!
Huyo ndiye bingwa ya wasio penda ukweli humu, kwani humjui?Unaropokwa kwamba city ambayo ina 5th biggest port in Africa haistahili kuitwa city?
Sasa Tanzania karibia yote mko standards level ya slum upande wa makazi, unataka nikuonyeshe nini? kila mji wa Tz, standard housing haipiti 10% wa mji., so what are u trying to say? mko hovyo.., mimi naeza kumwaga google earth images ya Mwanza wacha vi angle mnazo tumia humu kupotosha watu.., Mombasa on google earth ni level ya Dar kabisaa, utafikiria ni Dar.., yaani nyie hamna city nje ya Dar, na sio tafadhali so tusisumbuane., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Nioneshe slum 1 Mwanza nikuoneshe slums 100 Mombasa 🤣🤣🤣
For real sure I don't know how many followers he has and am not one of his fans but my concern was your fellow Kenyans asked for that.Can that Kigogo be compared with Kenyan bloggers? How many followers does he have on Twitter?
Kweli jengo limetulia.My favority structure of all timeView attachment 2245380
Acha uongo😂Makes alot that's why it's one of the best and successful reliable,modern efficient transport system across in Africa.
Evidence?For real sure I don't know how many followers he has and am not one of his fans but my concern was your fellow Kenyans asked for that.
Milioni 125 kwa sikuHow much does Tanzanian BRT make in a day?
kazi ya BRT ni kutoa service kwanza alaf faida baadae 👇👇👇👇
Milioni 125 kwa siku
Do it yourselfCan you join me in a maths class tujue pesa kila basi inatengeneza per trip? I want to know if the system is running at a loss or profit .
Hii hapa na nauli ni bei chini huduma safiNimeuliza inatengeneza pesa ngapi Kwa siku.
😂😂😂😂 Umesense defeat.Do it yourself
This system is running at a loss.Hii hapa na nauli ni bei chini huduma safiView attachment 2245409
Sasa wew jobless unanituma mim ambae nina kazi kedekede. Kuwa na adabu.😂😂😂😂 Umesense defeat.
Wacha ujinga. Hii ni ya mwaka gani? Kama sio ya 2007 wachana nayo.
Wote mnaropoka tu from nothing substantial, nimesema leteni the oldest printed phrase hapa na mimi nilete, simple!"Tuma na ya kutoa" is a Kenyan phrase.
![]()
The Standard - Kenya & World News | Latest and Breaking news
Uncover Kenya's boldest stories: Politics, business, sports, and more. Breaking news delivered live. Be informed, empowered.www.standardmedia.co.ke