Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona electric poles za miti zikitapakaa Nairobi nzima
tapatalk_-1869442120_245x504.jpg
tapatalk_1915817262_245x504.jpg
tapatalk_-677669764_245x504.jpg
tapatalk_-1169128647_245x504.jpg
tapatalk_-1036856307_245x504.jpg
Screenshot_20220530-160404.jpg
 
Kuna hii habari hapa...Tanzania na Lesotho tunafanya vizuri kwenye road connectivity kwa 15% na Lesotho 24%...
Hilo jambo la kuunganisha mikoa na wilaya ambalo hua tunalizungumzia humu na jamaa zetu wanaona kama tunacheza ila sasa manufaa yake yameanza kuzaa matunda

Sikuacha na report ya kenya...labda mtuambie izo 10k kms ambazo Uhuru aliplan kujenga mmefikia wapi na kwann msiongoze kwa connectivity kama Tanzania na Lesotho???View attachment 2244367View attachment 2244368View attachment 2244369
Tafuta report ya Kenya bureau of statistics ya ilio chapishwa 2022 ujisomee road network so far.., over 20,000.., Tanzania bado., ila hapa wanasema percentage ya growth rate in Tz na Lesotho is leading in Africa, sio eti mko na more km than any other country.., kuna kilaza naona amekimbia ku quote na hana uelewa..,
 
Kuna hii habari hapa...Tanzania na Lesotho tunafanya vizuri kwenye road connectivity kwa 15% na Lesotho 24%...
Hilo jambo la kuunganisha mikoa na wilaya ambalo hua tunalizungumzia humu na jamaa zetu wanaona kama tunacheza ila sasa manufaa yake yameanza kuzaa matunda

Sikuacha na report ya kenya...labda mtuambie izo 10k kms ambazo Uhuru aliplan kujenga mmefikia wapi na kwann msiongoze kwa connectivity kama Tanzania na Lesotho???View attachment 2244367View attachment 2244368View attachment 2244369
Sasa raisi wa nchi anasema wamejenga km 14000 tu, wale vizuuu wakutuambia wamejenga 20000 wapooo
 
Kwa heshma na taadhima naomba nku ignore
How can u survive duniani kwa akili hiyo?
Ukishaona mtu anatumia matusi ku-argue na wewe jua kuwa uwezo wake wa kufikiri umeishia hapo, hutakiwi kuendelea naye maana na wewe ukijibu kwa matusi utaonekana umepungukiwa hekima.
 
Back
Top Bottom