Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe inawezekana ni school dropout ikiwa unashindwa hata kufanya simple maths kama hiyo..

Summation of Revenues for 3 consecutive qters =16.69Trilion/9=1.85Til..,

Kwa hiyo 1.85 less 1.3 Unapata ngapi wewe kilaza? Figures kama hizi uliwahi ziona awamu ya 5? [emoji116]
Kazi za matope na shuruba afanye mwingine matunda mnashangilia nyie[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]zaidi ya kuongeza rushwa na sherehee kingine nini
 
Yaani mtu anajipiga kifua kwa 1.3T anasahau mama kaupiga mwingi kwa 1.85T kwa mwaka mmja tuu...

Eti hawaoni miradi mipya [emoji23][emoji23]..Hizi hospital hapa zimeanzishwa hii fy year na Mwaka ujao kuna hospital ya Rufaa ya Kanda ya Magharibi inaanza kujengwa
Huu ushaidi huwa u ausoma kweli, hakuna sehem imesema kuanza kujenga bali kukamilisha manake kitu kilisha anza
 
Kazi za matope na shuruba afanye mwingine matunda mnashangilia nyie[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]zaidi ya kuongeza rushwa na sherehee kingine nini
Kingine hiki hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220528-191502.png
    Screenshot_20220528-191502.png
    182 KB · Views: 27
  • Screenshot_20220528-191519.png
    Screenshot_20220528-191519.png
    170.2 KB · Views: 27
  • 20220528_190955.jpg
    20220528_190955.jpg
    250.1 KB · Views: 30
  • 20220528_190951.jpg
    20220528_190951.jpg
    305.1 KB · Views: 27
  • 20220528_190948.jpg
    20220528_190948.jpg
    304.1 KB · Views: 29
Naendelea kuwapa vitasa vya SSH nyie muwe mnaitikia na wimbo wenu uliochuja wa hakuna miradi mipya [emoji23][emoji23]..

Mama yuko kazini,limekamilika [emoji116]
Kwaiyo icho kidaraj ndio unapost hapa., vipi naona arena mpka 2025,daraja la pale msimbazi vipi meshindwa?
 
A genuine comment in comparison btw NBO & DAR
 

Attachments

  • Screenshot_20220528-202809.png
    Screenshot_20220528-202809.png
    196.8 KB · Views: 31
  • Screenshot_20220528-202801.png
    Screenshot_20220528-202801.png
    118.2 KB · Views: 28
2018 nani alikuwa Rais, tuweni fair basi kwenye haya mambo.
Kwa hiyo alipokuwa Rais aliacha pesa za kumalizia sio? 🤣🤣🤣..

Juzi AfDB wamempa nani tuzo ya Miundombinu? Kwa hiyo hawako fair? 😬😬😬😬
 
Kwaiyo icho kidaraj ndio unapost hapa., vipi naona arena mpka 2025,daraja la pale msimbazi vipi meshindwa?
Sizitaki mbichi hizi 😂😂😂😂..Ndio wananchi wanataka hayo madaraja..

Umeona Kazi ya tozo hapa, Sumbawanga 👇
 

Attachments

  • IMG_20220524_174736_323.jpg
    IMG_20220524_174736_323.jpg
    929.9 KB · Views: 23
  • IMG_20220524_175106_500.jpg
    IMG_20220524_175106_500.jpg
    1.2 MB · Views: 26
  • IMG_20220524_174031_880.jpg
    IMG_20220524_174031_880.jpg
    946.1 KB · Views: 30
  • IMG_20220524_174713_993.jpg
    IMG_20220524_174713_993.jpg
    1.1 MB · Views: 24
  • IMG_20220524_173524_646.jpg
    IMG_20220524_173524_646.jpg
    947.6 KB · Views: 25
  • IMG_20220524_173605_258.jpg
    IMG_20220524_173605_258.jpg
    707.2 KB · Views: 28
Hili darajabnilikuw nashindwa kuelewa kwanini maraisi walio pita walilipotezea hasa JK? Legacy as ussual
Hadi mnafukia mtu wenu halitumiki na lilikwama,Samia kalikwamua na Sasa linatumika..Una jingine?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220528-191358.png
    Screenshot_20220528-191358.png
    148 KB · Views: 26
  • Screenshot_20220528-191410.png
    Screenshot_20220528-191410.png
    104.7 KB · Views: 31
Kwa hiyo alipokuwa Rais aliacha pesa za kumalizia sio? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]..

Juzi AfDB wamempa nani tuzo ya Miundombinu? Kwa hiyo hawako fair? [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Angefanyaje na hayupo? Kama angekuwepo angetafuta kama alivyoanzisha maana hata hao wakandarasi hawakuanza kwa mali kauri walilipwa.
 
Back
Top Bottom