Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Sina uhakikaHuu mgodi wa Nyanzaga Sengerema kwani umeshaanza kufanya kazi mbali na huu wa Singida?
Sina uhakikaHuu mgodi wa Nyanzaga Sengerema kwani umeshaanza kufanya kazi mbali na huu wa Singida?
😂😂😂😂 Sio aibu tu na Usalama wake pia, wakunya hawakawii kumvamia kumuibia kila kitu sababu ni mgeni, soma comments uone Wakunya wanavyomshauri ahame hapo kwa Usalama wake sababu tayari panafahamika 😅😅😅Hadi anaona aibu kusema yuko mtaa gani….[emoji28][emoji28]
Kosa la marehemu ndio katuingiza cha kike kwa mamiradi ya bila mpango...Hizo hela kwann wanazigawa kwa mafungu?nani aliewaambia wakajengee bwawa la nyerere hela zetu?tunazitaka zote kama ambavyo wabunge huchukua chao punde tu wanapomaliza muhula
Lakini wewe hua fala ndio maana wewe ni primary school dropout, utacompare aje freshers na graduates. Unajua wanafunzi wangapi hujoin universities na wanakosa kugraduate on time, ooohhh pole huwezi jua challenges za masomo ya University ju wewe ni primary school dropout. Tupatie figures za graduates wacha ujinga trying to compare apples with oranges. Number of Universities tumewazidi by double if not triple.Haha kumbe ninyi ni 80k ndio graduates per year?
Tanzania ni zaidi ya hao, angalia loan board inatoa higher education loans kwa New 70k students per year hapo bado more thousands who are not loan beneficiaries
View attachment 2239312
Hongereni, ila haya yote cc tuliyafanya zamani.Hadi garissa hawawachwi..nyuma...
Stupid..Ayaseme hayo kulikuwa na hafla iliyoandaliwa maalumu kwa ajili ya tuzo ukakuta hajayasema?If she was honest angeyasema hayo aliyoyasema kuhusu covid kipindi jpm alikuwa hai sio unangojea mtu ashakufa ndo unaanza kusema kama anavyofanya ruto kwa uhuru
We una cheti chochote kweli isipokua birth certificate? Kama geza na walker 255 ndio benchmark yako ya masomo bado una safari ndefuHii trend ya kuonyesha vyeti nimeipenda kiasi...lakini sioni haja pia,Mana kuna watu wana vyeti vizuri lakini miandiko yao sikuzote ni ujinga ujinga tu...tutaku prove kweli ulisoma na ukatoa ujinga kichwani kulingana na namna unavyoweza kung'amua mambo....
Binafsi nisijitaje mtu huwezi kusema mtu kama gezaulole hajasoma...Huwezi kusema walker255 hajaenda shule utakua kichaa. .natoa tu mifano hai
Mbona bado tunaongea kiujasiri? 😂😂Conversation has now changed. Wanaongea kiunyonge Sasa.
For me I usually return the favor being given four times. If you want to engage me in a serious conversation I'll change tune and engage you maturely. Lakini if you want to be an idiot, I'll lower myself to that level to make the playground same. I'm a frequent contributer in Nairaland and Skyscrapercity and trust me, you can't detect me in those forums if you want to use how I argue in JF as a comparison. In Nairaland and Skyscrapercity people argue maturely using facts and not empty words like what most Tanzanians do here. Again kule hakuna kupingana na facts venye nyinyi mnapingana na hadi za serikali yenu.Wakati huohuo teargas na cheti chake kizuri lakini kuna Wakati hu act kama class8 pupil...
Mtu Aliesomea molecular biology( Yani mtu yuko kiwango hicho lakini bado hamnazo)
Kama jamaa anaexpect 100% transition from admission to graduation in university inamaanisha hajawahi fika chuo kikuu huyu. Its very easy to tell.Lakini wewe hua fala ndio maana wewe ni primary school dropout, utacompare aje freshers na graduates. Unajua wanafunzi wangapi hujoin universities na wanakosa kugraduate on time, ooohhh pole huwezi jua challenges za masomo ya University ju wewe ni primary school dropout. Tupatie figures ya graduates wacha ujinga trying to compare apples with oranges. Number of Universities tumewazidi by double if not triple.
dyfre wewe ni Mkenya wa tatu kupost degree certificate yako. Mind you so far hakuna Mtanzania hata mmoja amepost degree certificate yake.Wadanganyika hapa kumbe ata hawajasoma nkt! I have been arguing with fools huu muda wote.
Wakenya tumesoma bana and we don't even brag about itView attachment 2239293
Lakini wewe hua fala ndio maana wewe ni primary school dropout, utacompare aje freshers na graduates. Unajua wanafunzi wangapi hujoin universities na wanakosa kugraduate on time, ooohhh pole huwezi jua challenges za masomo ya University ju wewe ni primary school dropout. Tupatie figures za graduates wacha ujinga trying to compare apples with oranges. Number of Universities tumewazidi by double if not triple.
Nani kaongelea kutunzwa? Si ni wewe mwenyewe ukapost hii? Ama hujaisoma na kuielewa vizuri?Acha povu,itatunzwa maalumu kwa ajili ya high end tourism..
Ukiona hawapost vyeti vyao nikumaanisha hawanadyfre wewe ni Mkenya wa tatu kupost degree certificate yako. Mind you so far hakuna Mtanzania hata mmoja amepost degree certificate yake.
Kwa ivo mnajilaumu wenjyewe, "This should be a National treasure but because it was discovered by a Tanzanian..." Ivi mnataka archeologist mzungu wa nje aka discover ndivo mkaienzi kama national treasure, sio?
Jaribu kuweka picha kama full image baada ya ku attach.Mbona bado tunaongea kiujasiri? 😂😂
Mulifanya zamani na mkona a village ndani ya Dar, yani mkona rural area a few kilometers from CBD. 🤣 🤣 🤣 Video kutoka mwanzo hadi mwisho hakuna hata centimeter moja ya lami.Hongereni, ila haya yote cc tuliyafanya zamani.
Sasa unasubiri nini hapa JF c uondoke? Kwann unatumia muda mwingi kuwa jf kuliko nairaland na skyscraper city mbwa wewe.For me I usually return the favor being given four times. If you want to engage me in a serious conversation I'll change tune and engage you maturely. Lakini if you want to be an idiot, I'll lower myself to that level to make the playground same. I'm a frequent contributer in Nairaland and Skyscrapercity and trust me, you can't detect me in those forums if you want to use how I argue in JF as a comparison. In Nairaland and Skyscrapercity people argue maturely using facts and not empty words like what most Tanzanians do here. Again kule hakuna kupingana na facts venye nyinyi mnapingana na hadi za serikali yenu.
Wewe ni primary school drop out. Reasoning yako haiwezi kua ya form 4.Of course mimi ni form 4 leaver lakini wewe kichaa wa University huwezi niambia kitu 😅😅😅