Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania inaheshimika sana.

Kenya mkikatisha tuu tunawafyeka👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-205941.png
    Screenshot_20220524-205941.png
    137.1 KB · Views: 21
One of the 100 most influential people 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-204740.png
    Screenshot_20220524-204740.png
    170.8 KB · Views: 25
  • Screenshot_20220524-204657.png
    Screenshot_20220524-204657.png
    159.7 KB · Views: 27
Kuna watu watanuna,sote ni ndugu.

Balozi wa Tanzania na Kenyatta 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-202813.png
    Screenshot_20220524-202813.png
    247.2 KB · Views: 24
wabongo, najua hii ni uchungu sana.[emoji37][emoji37][emoji37] ila mtakuja tu kuzoea

mtanunua tu yenu skumoja. mzidi kushikilia imani.. mtakuja kuonekaniwa..

View attachment 2237387View attachment 2237389
Nimecheka sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe unajua drone kweli maana unaweka hapa toy ya watoto? Inaweza kweli kubeba missiles hiyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wacha kujiaibisha mbele ya dunia, eti toy 🤣 🤣 🤣 🤣 kumbe hujui vile drone zinafanana, ndio maana umekimbia kugoogle combat drone sa unadhani drone zote zinafana hivyo. Punguza ushamba kijana ju nchi yenu haina hata counter drone system. Wewe ni keyboard warrior mshamba sana.

1653421894154.png
 
Uwezekano hupo na hata zaidi ya iyo trilioni moja acha tungoje miradi yetu ya bandari ikimalike kwanza tutaelewana tuu
Uwezekano wa kukusanya bilioni 894 itawezekana maana vyanzo vinaongezeka pia, zamani tulikuwa tunakusanya bilioni mia mbili na kitu.Baada ya miaka 6 tu tunaenda bilion 800 karibia 1tln. Magu aliwaamsha watu wengi sana usingizini
 
Back
Top Bottom