Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Binafsi kwa sasa naona kama tungerudi tena kwenye mig au tu upgrade kabisa na sukhoi ingependeza zaidi
Mkuu, ndege za Urusi ni ghali Sana kuzinunua na kuzihudumia, China ndio kimbilio la Dunia nzima ktk kupata mahitaji yetu kwa kila kitu, tena kwa Bei nafuu.

Kama kusingekuwepo masharti ya nchi za Ulaya na Marekani kulazimisha nchi washirika na marafiki wao kulazimisha kuacha kununua silaha China, basi nchi nyingi za Ulaya zingenunua vifaa na ndege za Kijeshi toka China.

Hebu sikiliza hii video kwa makini Sana tofauti Kati ya J-10 na Rafel(ambayo ni ndege tegemeo kwa nchi za NATO), kisha linganisha Bei.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Dar kwenye barabara haina competitor ukanda wote huu tena decent roads

Dar ina mtandao mkubwa wa barabara za lami kuliko mji wowote ukanda huu


Unasema watu hawawezi wafikia Kwa roads then post some of the shitiest roads hehe seems you haven't traveled far from your village that's why you think those roads look okay
 
Na nilidhani walisema guys wount use the express way hehe! Kumbe hata haitoshi wajenge ingine tutalipia tu. Magari Ni mengi
Screenshot_20220525-081428.png
 
Mkuu, ndege za Urusi ni ghali Sana kuzinunua na kuzihudumia, China ndio kimbilio la Dunia nzima ktk kupata mahitaji yetu kwa kila kitu, tena kwa Bei nafuu.

Kama kusingekuwepo masharti ya nchi za Ulaya na Marekani kulazimisha nchi washirika na marafiki wao kulazimisha kuacha kununua silaha China, basi nchi nyingi za Ulaya zingenunua vifaa na ndege za Kijeshi toka China.

Hebu sikiliza hii video kwa makini Sana tofauti Kati ya J-10 na Rafel(ambayo ni ndege tegemeo kwa nchi za NATO), kisha linganisha Bei.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

China watakuuzia makaratasi ambayo ukienda vitani kabla adui hajafika yanaanza kuchanika yenyewe.Hakuna kitu Bora kutoka China labda vyombo vya udongo na vile ambavyo ni western Licenceee.Wachina wanapenda kupata tu pesa cheaply
 
outside of Darslam, no other city in tanzania can experience traffic snarl-up.!

naxvegas
Screenshot_20220525-083638_Chrome.jpg
Screenshot_20220426-163413_Gallery.jpg
Screenshot_20220426-125929_Gallery.jpg
Screenshot_20220426-164656_Gallery.jpg
Screenshot_20220426-164314_Gallery.jpg
Screenshot_20220425-001722_YouTube.jpg
 
Sikiliza ulivyo mpumbavu hivi una maana gani bandari za maziwa ni ndogo?

Hivi Kisumu port inafika hata nusu ya bandari mbili za Mwanza north and South? unalinganishaje bandari za maziwa na za Bahari?

Hivi Unajua ukubwa wa meli za maziwa? Nyingi hazizidi 100m! Na Kigoma port ina berth tatu moja mizigo total berths with over 240 m then a dedicated berth for passengers 110m, another berths at Kagunga, with Kibirizi berth dedicated for smaller boats at 100 m!

With Karema port 150 m berth completion, and Kasanga with 120 m berth, Tanzania has 4 major ports in Lake Tanganyika, and just like the way we dominate Lake Victoria, we have no comparison.

As for vessels 2 ships for lake Tanganyika n Victoria r being built aside old being rehabilitated!

Wacha ujuaji!
Punguza hasira za kitoto. Sipingi kwamba mna bandari kadhaa tayari. Mimi ninachoangalia hapa ni kwamba Tanzania bado ina potential kubwa zaidi ya kusafirisha mizigo za DRC. Otherwise mbona mnazidi kuexpand port zenu za maziwa? Mbona mnazidi kujenga meli kubwa zaidi? Obviously ni kwa sababu idadi ya mizigo nayo inazidi kuongezeka. Nipo sure mnahitaji meli kubwa kadhaa hio meli moja kubwa ziwa Victoria na moja kubwa ziwa Tanganyika hazitoshi.

DRC na UG ni nchi kubwa mzee huwezi kuniambia eti hizo meli kubwa mbili zinatosha. Kama unahisi kwamba tayari mna bandari za kutosha basi wekeni nguvu zenu kwenye kujenga meli zingine kadhaa ili kurahisisha trade kati ya hizi nchi tatu kubwa Uganda, DRC na Tanzania. Meli mbili kubwa kamwe hazitoshi.

Mwisho kabisa, Kenya haitegemei sana ziwa Victoria kusafirisha mizigo yake hadi nchi za jirani kama nyie mnavyoitegemea ziwa Victoria na Tanganyika. Najua nikisema mnastahili kununua cranes na vifaa vya kisasa pia utakasirika japo ni advise nzuri.
 
Punguza hasira za kitoto. Sipingi kwamba mna bandari kadhaa tayari. Mimi ninachoangalia hapa ni kwamba Tanzania bado ina potential kubwa zaidi ya kusafirisha mizigo za DRC. Otherwise mbona mnazidi kuexpand port zenu za maziwa? Mbona mnazidi kujenga meli kubwa zaidi? Obviously ni kwa sababu idadi ya mizigo nayo inazidi kuongezeka. Nipo sure mnahitaji meli kubwa kadhaa hio meli moja kubwa ziwa Victoria na moja kubwa ziwa Tanganyika hazitoshi.

DRC na UG ni nchi kubwa mzee huwezi kuniambia eti hizo meli kubwa mbili zinatosha. Kama unahisi kwamba tayari mna bandari za kutosha basi wekeni nguvu zenu kwenye kujenga meli zingine kadhaa ili kurahisisha trade kati ya hizi nchi tatu kubwa Uganda, DRC na Tanzania. Meli mbili kubwa kamwe hazitoshi.

Mwisho kabisa, Kenya haitegemei sana ziwa Victoria kusafirisha mizigo yake hadi nchi za jirani kama nyie mnavyoitegemea ziwa Victoria na ziwa Tanganyika. Najua nikisema mnastahili kununua cranes na vifaa vya kisasa pia utakasirika japo ni advise nzuri.
Tatizo lako ww ni mtu wa kusahau sahau sn, kwahiyo meli tunazokuwa tunapost hapa za ziwa Victoria na ziwa Tanganyika ushazisahau?
 
Back
Top Bottom