chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,676
- 45,907
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nionyeshe ni wapi nimewahi kushangilia imports na kusema kwamba imports ni nzuri kushinda exports nitoke JF. Usiweke maneno kwenye mdomo wangu. Mimi kukueleza kwamba Kenya ina import bill kubwa haimaanishi kwamba naishangilia imports.
Wewe huyu? 😆