chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,676
- 45,907
Nipe idadi ya mizigo ya Kenya na transitKwanza, unajua kwamba mizigo zinazopitia bandari ya Mombasa sio za Kenya pekee? Kuna mizigo za Uganda, South Sudan, DR Congo na kadhalika. Pili, unajua kwamba mizigo zinazopitia Mombasa port sio imports pekee bali kuna hata exports? Tatu, unajua kuna hata mizigo za transhipments zinazopitia Mombasa port?
Sababu ilivyo ni kwamba 95% ni destined to Kenya na 80% ni incoming cargo!