Tamisemi ipo chini ya ofisi ya RaisiThis whole text could really give me an easy time ungetype kwa kiingereza,
lakini, nilishaelewa hata kabla ya haya yote kiasi kwamba budget ya elimu haipo kwa jumla, hata ivo kwa urahisi ungefanya jumla ya pesa taslimu zinazoelekea directly kwa elimu uyaseme.
Natumai wizara ya elimu afya wanaspecify kwamba pesa fulani inaenda kwa elimu,
Unless unaexpect niamini upuuzi huu mwenzako anatuambia pia pesa za ofisi ya rais pia ni za elimu
View attachment 2233602View attachment 2233603
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app