Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

aibu kubwa sana kwa ibiria kusimama kwa matatu katika nchi ya kenya-DC (developed/developing country)

763e528c2635b8de2ca67c0253ac57f1.jpg

What is it with this photo? You keep posting it a million times! I don't see anything funny or of importance with it.

May be am not understanding you, what do you want to achieve with the repeated posts? Or you just want to spam our accounts and this site??
 
aibu kubwa sana kwa ibiria kusimama kwa matatu katika nchi ya kenya-DC (developed/developing country)

aa5790566baec843214f218832548420.jpg
 
What is it with this photo? You keep posting it a million times! I don't see anything funny or of importance with it.

May be am not understanding you, what do you want to achieve with the repeated posts? Or you just want to spam our accounts and this site??
punguza hasira....kuwa mpole ...acha kisu cha ngariba kikuingie mahala pake.
 
asante kwa opinion yako,umeeleweka vizuri sana mdau.

labda tu nikusahihishe kuhusu muktadha wa thread hii.

lengo la thread sio kurudi nyuma katika kuangazia sababu zilizoyafikisha mataifa haya hapa yalipo hii leo,bali ni kupeana updates kuhusu project mbalimbali za kimaendeo (kwa njia ya picha) zilizo kamilika,zinazoendelea na zile ambazo zipo mbioni kuanza.

ndio maana comrade mwenzetu Ichoboy mara kadhaa amekuwa akiwapiga kijembe wakenya kuwa hii sio dar ya 90s,kuonyesha ni namna gani tz inapiga hatua kusonga mbele na sio kurudi nyuma.
Ninakushukuru sana kwa kuniweka sawa, mimi ni mgeni humu jamvini nimeingia leo, japo huko nyuma nilikua ni kama mtazamaji tu. Lengo langu ni kuwakumbusha ndugu zangu toka Kenya kwamba, hivi sasa inaonekana mpira huu unachezewa nusu uwanja tena upande wa Kenya, kwa sababu kufananisha majengo, barabara, Hoteli na sehemu za kifahari, huo ni uwanja wa Kenya, Tanzania haijawahi kuwa na competative advantage katika eneo hilo, Tanzania eneo lake kubwa ni usawa wa binadamu, maendeleo ya vitu ni sifa ya ubepari.

Kinachoonekana ni kama vile Tanzania imefanikiwa katika hatua ya awali ya ujenzi wa umoja wa kitaifa na usawa miongoni mwa watu wake, sasa imeamua kujenga uchumi ambalo kwa kweli lilikua eneo la Kenya waliloanza nalo, leo kuona Dar inatoa kijasho na Nairobi ni jambo la kujivunia sana kwa watanzania, miaka 15 Iliyopita halikuwa jambo la kufikirika.

Kuna haja ya wakenya kuliona hilo na kujitahidi nao kugeuka kuona kama hayo maendeleo ya vitu waliyoanza nayo tangu Uhuru kama bado yanafaida kwa wananchi walio wengi, au inabidi wajiulize na ikiwezekana wafungue uzi ili tuchangie ni kwa jinsi gani wanaweza kulijenga taifa leo kwa kuwaleta watu wao pamoja kama ilivyo Tanzania, ninahisi inaweza kusaidia wananchi wengi zaidi kuliko hizo malls wanazoshabikia kila kukicha.

Ninaomba kuwakilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninakushukuru sana kwa kuniweka sawa, mimi ni mgeni humu jamvini nimeingia leo, japo huko nyuma nilikua ni kama mtazamaji tu. Lengo langu ni kuwakumbusha ndugu zangu toka Kenya kwamba, hivi sasa inaonekana mpira huu unachezewa nusu uwanja tena upande wa Kenya, kwa sababu kufananisha majengo, barabara, Hoteli na sehemu za kifahari, huo ni uwanja wa Kenya, Tanzania haijawahi kuwa na competative advantage katika eneo hilo, Tanzania eneo lake kubwa ni usawa wa binadamu, maendeleo ya vitu ni sifa ya ubepari.

Kinachoonekana ni kama vile Tanzania imefanikiwa katika hatua ya awali ya ujenzi wa umoja wa kitaifa na usawa miongoni mwa watu wake, sasa imeamua kujenga uchumi ambalo kwa kweli lilikua eneo la Kenya waliloanza nalo, leo kuona Dar inatoa kijasho na Nairobi ni jambo la kujivunia sana kwa watanzania, miaka 15 Iliyopita halikuwa jambo la kufikirika.

Kuna haja ya wakenya kuliona hilo na kujitahidi nao kugeuka kuona kama hayo maendeleo ya vitu waliyoanza nayo tangu Uhuru kama bado yanafaida kwa wananchi walio wengi, au inabidi wajiulize na ikiwezekana wafungue uzi ili tuchangie ni kwa jinsi gani wanaweza kulijenga taifa leo kwa kuwaleta watu wao pamoja kama ilivyo Tanzania, ninahisi inaweza kusaidia wananchi wengi zaidi kuliko hizo malls wanazoshabikia kila kukicha.

Ninaomba kuwakilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninakushukuru sana kwa kuniweka sawa, mimi ni mgeni humu jamvini nimeingia leo, japo huko nyuma nilikua ni kama mtazamaji tu. Lengo langu ni kuwakumbusha ndugu zangu toka Kenya kwamba, hivi sasa inaonekana mpira huu unachezewa nusu uwanja tena upande wa Kenya, kwa sababu kufananisha majengo, barabara, Hoteli na sehemu za kifahari, huo ni uwanja wa Kenya, Tanzania haijawahi kuwa na competative advantage katika eneo hilo, Tanzania eneo lake kubwa ni usawa wa binadamu, maendeleo ya vitu ni sifa ya ubepari.

Kinachoonekana ni kama vile Tanzania imefanikiwa katika hatua ya awali ya ujenzi wa umoja wa kitaifa na usawa miongoni mwa watu wake, sasa imeamua kujenga uchumi ambalo kwa kweli lilikua eneo la Kenya waliloanza nalo, leo kuona Dar inatoa kijasho na Nairobi ni jambo la kujivunia sana kwa watanzania, miaka 15 Iliyopita halikuwa jambo la kufikirika.

Kuna haja ya wakenya kuliona hilo na kujitahidi nao kugeuka kuona kama hayo maendeleo ya vitu waliyoanza nayo tangu Uhuru kama bado yanafaida kwa wananchi walio wengi, au inabidi wajiulize na ikiwezekana wafungue uzi ili tuchangie ni kwa jinsi gani wanaweza kulijenga taifa leo kwa kuwaleta watu wao pamoja kama ilivyo Tanzania, ninahisi inaweza kusaidia wananchi wengi zaidi kuliko hizo malls wanazoshabikia kila kukicha.

Ninaomba kuwakilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
NB:
ukitaka kupata picha kamili ya ushindani wa kimaendeleo tuliounyesha kwa wakenya mpaka wakapigwa na butwaa wasiamini macho yao,rudi page za nyuma za thread hii.
 
Kenyans might be tribal lakini ni wachapa kazi wa kishua. .........Kenya controls 50% of east Africa's GDP and if our governors get a bit more serious on grassroots development then we will go far
GDP ambayo data zake mnazipika..
 
I even feel our GDP is underestimated considering rental income not being factored in and the vibrant undocumented juakali sector.. ..Kenya deserves to be at 100 billion dollars plus by now
porojo at its best....keep wishing...
 
I honestly love Mombasa more compared to any other Kenyan city or town.There is this awesome feeling that I get when in coasto

And Nairobi is in a rude shock in the coming 5 years. All the projects in Mombasa and being a coastal town, they are going to make Mombasa superior and beautiful!!!
 
Back
Top Bottom