Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtwara hadi kagera Ni lami tu Dar hadi rukwa lami tu izo ni distance zaidi ya km 1400 kwa kila route. ...wanjala anatuonyesha barabara moja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
wakiona vitu vizuri kama hivi,huwa wanabaki kuduwaa kwa kupigwa na butwaa wasiamini kuwa hii ndio tz ya sasa sio ile ya 90s.
 
Povuuuuuu, wewe leta yako legit

wewe jamaa unakuanga na utoto sana
najua mna hasira...embu tazameni vizuri hizo picha hapo chini,hasira ikizidi kumbatieni transformer ya kenya power mfie mbali...
amazing view of tarmacked road that connect tanzania from south,north,west to the eastern part of the country.
5511b0a359d7f6472492d3e61b49276f.jpg
1077d701a6a1994e4c6c777fdb7719e1.jpg
bc23dc84fd3d032164e412e4391f77a4.jpg
ccdfdff925833acd2f26960732403fdb.jpg
646bdfba534b8e1d639af663ebca929a.jpg
44313f205560bd753b854d277c4b7443.jpg
97d1679e19e7cb8ab9e67ad8e0863bba.jpg
a7edf9643aabda4795cdcfd3d2e60ab4.jpg
9db9862858b8c3827c9e953023014e7a.jpg
8181da9669b5c6287bf5dfdf5399f76e.jpg
 
Mimi ningeshauri, tungelinganisha au tungezungumzia hii miradi inayoendelea Kenya na Tanzania kama kweli inaleta tija na faida katika nchi na wananchi wake, kwa mfano, bado mimi ninapata wasiwasi kama ule mpango wa laptop kwa wanafunzi ni mradi wa maana na wenye tija kwa Kenya, mradi wa bandari ya Lamu pia sioni kama ni jambo la kulitekeleza kwa sasa, ninaomba kama kuna wakenya humu jamvini wanaojua faida za miradi hii miwili ukiachia faida ya kuleta sifa na kiki, wanieleze hasa faida zake za msingi miradi hii miwili.

Naomba kuwakilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
your on the wrong place,hapa hakuna mambo ya kujadili na huu ni mpambano ambao ulianza kitambo na hakuna dariri zozote ambazo zinaonyesha yakua utaisha hivi karibu, so sioni kama unauwezo wa kuvumilia huu mpambano
 
amazing view of tarmacked road that connect tanzania from south,north,west to the eastern part of the country.
9e8acab5c4fdf37e8d4a3d26af3f3b13.jpg
f2266e6f27da5af78ae0c694de6563bf.jpg
e37aef5e929dd9bd19e5cde92f0a1c82.jpg
55f30d940f747cde23085ac8dd484acb.jpg
869448aa95032ed15ffeae40b9acddf8.jpg
6f1db95976e424229a8a42ad658d928c.jpg
73f8977171a7f90aac73a4bd1d30373c.jpg

Inferiority complex, who said Dar hamna Barabara?

Mnajua mambo ya Barabara hatuwezi anza kulinganisha hapa, maana Kenya ina mara nne ya za Tanzania nzima
 
Inferiority complex, who said Dar hamna Barabara?

Mnajua mambo ya Barabara hatuwezi anza kulinganisha hapa, maana Kenya ina mara nne ya za Tanzania nzima
Barabara zinazinduliwa uku kila baada ya mwaka at kabla mwaka kuisha juzi apa raisi kazindua zaidi ya km 900 vipande tofauti tofauti na engineers wako wanaendelea kupiga mzigo zaidi ya km 2000 zinapigwa lami iyo Ni mikoa iliobaki kuungwa kwa lami2na baadhi ya wilaya muhimu....[HASHTAG]#inabadilkka[/HASHTAG] kila siku...kama ulikua na data za mwaka jana unapotea

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Avic international Africa headquarters
working round the clock
yxRkqyeh.jpg

__________________
 
40 floor,36 floor ,19 floor Montave Towers,neighbouring the 70 floor pinnacle,now on full swing excavation

WEBG73yl.jpg


H4HFHaxl.jpg


64Jgfo0l.jpg


kV79Gmcl.jpg


__________________
PnRkkbf.jpg
__________________
28700285681_a6bfd15103_b.jpg


28777242135_8d2df1f0c6_b.jpg


28159838494_b06d3196ef_b.jpg


28777172965_4e0de844ac_b.jpg
 
Back
Top Bottom