Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
SGR Nairobi to Mombasa is changing fortunes along the route, Animal Watching Camp in Voi that was dead is now under renovations
In Volleyball, they gave Tanzania 3 Sets to 1\
![]()
Mimi ningeshauri, tungelinganisha au tungezungumzia hii miradi inayoendelea Kenya na Tanzania kama kweli inaleta tija na faida katika nchi na wananchi wake, kwa mfano, bado mimi ninapata wasiwasi kama ule mpango wa laptop kwa wanafunzi ni mradi wa maana na wenye tija kwa Kenya, mradi wa bandari ya Lamu pia sioni kama ni jambo la kulitekeleza kwa sasa, ninaomba kama kuna wakenya humu jamvini wanaojua faida za miradi hii miwili ukiachia faida ya kuleta sifa na kiki, wanieleze hasa faida zake za msingi miradi hii miwili.
Naomba kuwakilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtwara hadi kagera Ni lami tu Dar hadi rukwa lami tu izo ni distance zaidi ya km 1400 kwa kila route. ...wanjala anatuonyesha barabara moja tuamazing view of tarmacked road that's connecting tanzania from south,north,west and eastern side of the country.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Povuuuuuu, wewe leta yako legitGDP ya kupika data.
wewe jamaa unakuanga na utoto sanaNairobi city...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()