Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Who wrote these?? OMG 😳😳😳😳😳😵
e12493e0e3fd4f6e6649ee03b3cc84dc.jpg



hahaha. ...dar has a long way to go
 
Mimi ninadhani ni vizuri tukazichambua kwa undani hizi nchi mbili yaani Tanzania na Kenya tangu kupata uhuru, Kenya ilichagua mfumo wa kibepari ambao msingi wake ni mali, Jommo Kenyatta alianza na kujenga uchumi moja kwa moja kuanzia 1963, yeye aliamini uchumi kwanza mambo mengine kama siasa ya kujenga utaifa vitafuata baadae, matokeo yake ichumi wa Kenya uliimarika sana kwa kipindi cha miongo minne yaani kuanzia 1963 Kenya ilipojipatia Uhuru hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 uchumi ulipoanza kupungua kasi ya ukuaji wake, kwa sababu Siasa za kibepari hazimjali sana mtu wa chini, pengo la wenye nacho na wasio nacho likaendelea kukua kwa kasi, jamii ya Kenya ikagawanyika sana kwa misingi ya masikini na matajiri iliyokolezwa na ukabila na kikanda.

Kinyume chake ndicho kilichotokea Tanzania, Nyerere yeye aliamua kutoanza na uchumi, yeye alianza na siasa na utengamano wa Taifa, Siasa za ujamaa wa nyerere msingi wake mkuu ni UTU, nyerere aliamini kwenye usawa miongoni mwa binadamu, usawa wa mambo mengi ikiwemo kipato, Nyerere alipinga uonevu na dhuluma popote duniani hasa Afrika, ndiyo pale aliposema "Japo Tanzania imepata Uhuru, lakini uhuru huo hauna maana kama waafrika wengine bado wanakandamizwa", ndipo alipoamua kupigana vita kuzikomboa nchi zilizokua bado hazijapata uhuru kusini mwa Africa, kipindi chote hiki cha kujenga umoja wa kitaifa na vita vya ukombozi, uchumi wa Tanzania ulikua haukui kabisa.

Kenya kwa sababu ilianza na kujenga uchumi, hivi sasa inabidi kugeuka kujenga umoja wa kitaifa, ili kuwaleta watu pamoja kupunguza athari hasi za mfumo wa kibepari, swali la kujiuliza ni lini Kenya itaanza kazi hii ya kujenga taifa liwe pamoja, au Kenya bado inaona umoja wa kitaifa si muhimu, muhimu ni kuendelea na uchumi kama alivyofanya mzee Jommo Kenyatta?

Tanzania iliyoanza na ujenzi wa utaifa na kuweka kando ujenzi wa uchumi, je inadhani bado ni wakati wa kuendelea kujenga utaifa au inadhani kazi ya ujenzi wa utaifa imefanikiwa na sasa inabidi nchi igeukie kujenga uchumi?, na je hiyo kazi ya kujenga uchumi imeanza na kama imeanza kuna dalili zozote za mafanikio?

Naomba kuwakilisha jamvini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ninadhani ni vizuri tukazichambua kwa undani hizi nchi mbili yaani Tanzania na Kenya tangu kupata uhuru, Kenya ilichagua mfumo wa kibepari ambao msingi wake ni mali, Jommo Kenyatta alianza na kujenga uchumi moja kwa moja kuanzia 1963, yeye aliamini uchumi kwanza mambo mengine kama siasa ya kujenga utaifa vitafuata baadae, matokeo yake ichumi wa Kenya uliimarika sana kwa kipindi cha miongo minne yaani kuanzia 1963 Kenya ilipojipatia Uhuru hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 uchumi ulipoanza kupungua kasi ya ukuaji wake, kwa sababu Siasa za kibepari hazimjali sana mtu wa chini, pengo la wenye nacho na wasio nacho likaendelea kukua kwa kasi, jamii ya Kenya ikagawanyika sana kwa misingi ya masikini na matajiri iliyokolezwa na ukabila na kikanda.

Kinyume chake ndicho kilichotokea Tanzania, Nyerere yeye aliamua kutoanza na uchumi, yeye alianza na siasa na utengamano wa Taifa, Siasa za ujamaa wa nyerere msingi wake mkuu ni UTU, nyerere aliamini kwenye usawa miongoni mwa binadamu, usawa wa mambo mengi ikiwemo kipato, Nyerere alipinga uonevu na dhuluma popote duniani hasa Afrika, ndiyo pale aliposema "Japo Tanzania imepata Uhuru, lakini uhuru huo hauna maana kama waafrika wengine bado wanakandamizwa", ndipo alipoamua kupigana vita kuzikomboa nchi zilizokua bado hazijapata uhuru kusini mwa Africa, kipindi chote hiki cha kujenga umoja wa kitaifa na vita vya ukombozi, uchumi wa Tanzania ulikua haukui kabisa.

Kenya kwa sababu ilianza na kujenga uchumi, hivi sasa inabidi kugeuka kujenga umoja wa kitaifa, ili kuwaleta watu pamoja kupunguza athari hasi za mfumo wa kibepari, swali la kujiuliza ni lini Kenya itaanza kazi hii ya kujenga taifa liwe pamoja, au Kenya bado inaona umoja wa kitaifa si muhimu, muhimu ni kuendelea na uchumi kama alivyofanya mzee Jommo Kenyatta?

Tanzania iliyoanza na ujenzi wa utaifa na kuweka kando ujenzi wa uchumi, je inadhani bado ni wakati wa kuendelea kujenga utaifa au inadhani kazi ya ujenzi wa utaifa imefanikiwa na sasa inabidi nchi igeukie kujenga uchumi?, na je hiyo kazi ya kujenga uchumi imeanza na kama imeanza kuna dalili zozote za mafanikio?

Naomba kuwakilisha jamvini

Sent using Jamii Forums mobile app
asante kwa opinion yako,umeeleweka vizuri sana mdau.

labda tu nikusahihishe kuhusu muktadha wa thread hii.

lengo la thread sio kurudi nyuma katika kuangazia sababu zilizoyafikisha mataifa haya hapa yalipo hii leo,bali ni kupeana updates kuhusu project mbalimbali za kimaendeo (kwa njia ya picha) zilizo kamilika,zinazoendelea na zile ambazo zipo mbioni kuanza.

ndio maana comrade mwenzetu Ichoboy mara kadhaa amekuwa akiwapiga kijembe wakenya kuwa hii sio dar ya 90s,kuonyesha ni namna gani tz inapiga hatua kusonga mbele na sio kurudi nyuma.
 
aibu kubwa sana kwa ibiria kusimama kwa matatu katika nchi ya kenya-DC (developed/developing country)

763e528c2635b8de2ca67c0253ac57f1.jpg
 
aibu kubwa sana kwa ibiria kusimama kwa matatu katika nchi ya kenya-DC (developed/developing country)

763e528c2635b8de2ca67c0253ac57f1.jpg
 
aibu kubwa sana kwa ibiria kusimama kwa matatu katika nchi ya kenya-DC (developed/developing country)

763e528c2635b8de2ca67c0253ac57f1.jpg
 
aibu kubwa sana kwa ibiria kusimama kwa matatu katika nchi ya kenya-DC (developed/developing country)

763e528c2635b8de2ca67c0253ac57f1.jpg
 
Back
Top Bottom