Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

abiria wanasimama mpaka kwa light rail...nenda addis ababa ujionee...hata marekani...sio jambo lakushtua ila nyie mpaka kuku, mbuzi na bata huwa mnasafirisha kwenye BRT...yaani mnachekesha kweli...
Hivi unajua kwanini tunawashangaa hivi? wenzeni walipinga sana hii kitu kusimama kwenye public transport na wametukana kila tusi, angalia post za nyuma , tuliwatumia hata mabasi ya london, lakini wakasema wao kenya hamna vitu kma hivyo, sasa na wewe hapa unaonekana kituko tena kwa kubali hadharani hivi hivi wakati wenzako huko nyuma walikua wanatapika pumba. too bad hamweleweki.
 
Hivi unajua kwanini tunawashangaa hivi? wenzeni walipinga sana hii kitu kusimama kwenye public tranasport na wametukana kila tusi, angalia post za nyuma , tul;iwatumia hata mabasi ya london, lakini wakasema wao kenya hamna vitu kma hivyo, sasa na wewe hapa unaonekana kituko tena kwa kubali hadharani hivi wakati wenzako huko nyuma walikua wanatapika pumba. too bad hamweleweki.
upo sahihi ndinda....ngoja nirudi page kadhaa nyuma nikalete zile post za wale washamba ili kila mtu azisome.
 
I love this building than all in Dar es Salaam
2d1b7954ea5d7279897a71d025b5255e.jpg
Utaelewa tu hata kama utachelewa .....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujielewi wewe! Those are VIP shuttles from the Airport to the hotels.

Unajifanya kujua sana!! Nani hupanda gari from a terminal building to the aircraft??? HHHHHHHH

Kwani iko wapi hiyo Aircraft?

Do you do that in Dar????
ni hotel zote za nairobi au specific hotels?....
 
All trees gone! Excavation full swing
kV79Gmcl.jpg


For these, 40 Flr Hotel, 25 flr Office, 19 flr residential. Montave Kenya
mont1.jpg
 
nini maoni yako kuhusu issue ya kunguni kwa matatu na hii hapa chini.........???
763e528c2635b8de2ca67c0253ac57f1.jpg

Kunguni zimekuuma wewe?

ooh, sawa, Kunguni zimekuwemo kwenye mabasi ya kwenda Mwiki, Zilisambazwa na wanafunzi toka Thika hilo lilikuwepo, ila sahi, hazipo tena.

Kisha nikuulize tena, Kunguni hizo za Mwiki zimekuuma wewe??
 
Back
Top Bottom