chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,675
- 45,907
Sikuelewi, yaani kuna limit kwenye kupurchase internet au vipi? I can use both pre paid and post paid accordance with my convenience and where I am, I can use Wi-Fi and phone internet, tatizo ninyi washamba sanaWewe wakutumia bundle ndio mshamba. Internet sio internet kuna watu wanatumia unlimited kama mimi na kuna wewe wakutumia hizo bundle.