Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona mkose cha kusema wakati mwenzenu anataja hadi Bagamoyo port iliyoshakula vumbi kitambo?! Then the value of most of the projects sio za kweli. Mfano ni Dar port expansion na LNG
Bagamoyo upo katika mazungumzo na wamefikia pazuri tu, hiyo expansion ya dar port na LNG figures zako zinasomaje, ziweke hapa.
 
We matako, hapa tunazungumzia existence au tunazungumzia thamani ya miradi inayofanyika currently.? Luckily miradi ya Dom ilianza 2017 while konza ilianza since 2008
What's the value of those projects happening in Dodoma? I would appreciate if you include a link to your information
 
BRT PHASE 2 INGETUTOA KWELI KAMA INGEKAMILIKA NDANI YA HUU MWAKA SEMA HUYU MAMA ANATUANGUSHA ,KASHINDWA KUBUNI MIRADI MIPYA , kutokuwepo kwa miradi mipya tulitegemea kungeongeza kasi ya hii miradi iliyopo [emoji849] kinyume chake ...no new project na miradi ya zamani imebuma.
Kwa kauli yake amesema watu walitegemea miradi itakufa lakini yote inafanyika. Amesema hivyo jana. Bado muda upo yote yanawezekana.Tusubiri tuone wengine hatupo karibu na miradi mkuu.
 
Bagamoyo upo katika mazungumzo na wamefikia pazuri tu, hiyo expansion ya dar port na LNG figures zako zinasomaje, ziweke hapa.
Bogomoyo is a dead project. Links to my figures I already shared earlier. pekua kurasa za nyuma
 
Hao wamefungiwa maisha kujihusisha na soka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wamefanya nini tena haw watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tunajua humu ndani kila m1 anapenda barabara sio tu kwasababu tunamiliki magari ila Faida zake kwa ujumla zinafahamika....lakini Mradi wa barabara kutoka Tabora hadi katavi 342km wala watu haujawashtua(WaTanzania)...kuna watu wanashtuka sana na stretch ya 28km ambapo only 8.9km ndio ipo elevated
Mnashtushwa kwasababu the longest elevated road in Tanzania is 100 meters
 
Rally de Portugal here we go. TEAM KENYA 🇰🇪

All the best Mcrae Kimathi.

Image
 
Bagamoyo port umeona wap ukiwa unatekelezwa?na kwann habari za sgr unazikwepa
Mwenzako alitaja Bagamoyo that's why. Sgr siitaji coz ours is operational na cost yake ilikuwa juu kuliko what you've already spent so far on your sgr ambayo bado umekwama vichakani
 
bongolala, nishakuambia Dodoma imekuwepo kabla ya Tanganyika kupata uhuru. Konza inajengwa from scratch and at the moment the focus is on building horizontal infrastructure ie roads, sewer systems, water system, network cables etc. View attachment 2230926View attachment 2230930View attachment 2230931View attachment 2230939View attachment 2230941View attachment 2230943View attachment 2230944View attachment 2230946View attachment 2230948View attachment 2230950
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] varangati ,
 
Muambie akuoneshe render na ujenzi ulipofikia na akuambie ni mwaka wa ngapi huu fundi juma yupo site. [emoji23][emoji23][emoji23]
At least sisi we have something to show. Wewe nionyeshe render ya Kigamboni city na mahali ujenzi umefikia so far.
 
Bogomoyo is a dead project. Links to my figures I already shared earlier. pekua kurasa za nyuma
Nitasoma. Ila nakazia Bagamoyo itakuwepo jipe muda utaiona imeanza [emoji846][emoji846], it was nearly dead but now is rising again and soon it will shine.
 
bongolala, nishakuambia Dodoma imekuwepo kabla ya Tanganyika kupata uhuru. Konza inajengwa from scratch and at the moment the focus is on building horizontal infrastructure ie roads, sewer systems, water system, network cables etc. View attachment 2230926View attachment 2230930View attachment 2230931View attachment 2230939View attachment 2230941View attachment 2230943View attachment 2230944View attachment 2230946View attachment 2230948View attachment 2230950
As I'm talking right now there are 30 small rise buildings (6-11 storeys buildings) under construction in the upcoming city of which we call it Magufuli City (gov city) roads, electricity, sew, and all that.. it's from the scratch, we unanionyesha kagorofa kamoja haka 😂😂 claiming that the project is expensive than ours .. ar you crazy.? Heb onja ladha kidogo 👇 vile expensive projects hukaa
thumb_2976_800x420_0_0_auto(0).jpg
Screenshot_20220519-222431_1.jpg
Screenshot_20220519-222423_1.jpg
Screenshot_20220519-222436_1.jpg
 
Kenya and UK governments have today unveiled the final design of the Nairobi Central Railway Station.

The project seeks to build eight-platform central rail station and a public space, which will anchor commercial and residential developments on 425-acre land.
IMG_20220519_222301.jpg
 
Mwenzako alitaja Bagamoyo that's why. Sgr siitaji coz ours is operational na cost yake ilikuwa juu kuliko what you've already spent so far on your sgr ambayo bado umekwama vichakani
SGR haijakwama iko under construction, sasa ulitaka iishe kwa mwaka mmoja. Ni ujenzi wa boxes nini ndg?
 
Back
Top Bottom