Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


20220519_181654.jpg

Mwenye bus la kenya federation alipost 😅
 
Hawa wakola mwanzo si walipigwa ban na FIFA..hii ni nn tena 🤣 ban ya pili au nn

Harambee stars huwa inaikandamiza Taifa stars kwenye mpira kila wakati. Sasa unaposherehekea hili ban usisahau hilo.
 
Mim video zozote zinatoka kenya huwa naangalia mazingira ya pemben mfano watu walivyo/walivyoovaa na magari yanayopita..hakuna siku nimepata uhalisia wa GDP yao na ninachoona kwenye hayo mazingira au hata magari yanayopita..
Umeona wamama wakibeba vikapu za samaki Kwa kichwa wakivalia maleso hapo Kwa street za Kenya kama huko kwenu Dar?
 
You could have done better by giving links to ascertain the cost of these "projects"

And why are you even mentioning Bagamoyo port while we all know it's non-existing. Ama tuletee picha za ujenzi tuone.

The value of Dodoma development doesn't even come close to Konza City ($14.5b)

Julius Nyerere Hydropower is $2.9b not $3.2

The cost of your sgr is $1.9b, not $14.7b

LNG is $30b, not $40b and it's still in limbo

Hayo mengine ni vihoja. What is air Tanzania "modernization"? How is an airline modernized? If you meant expansion, then it's a paltry $726m project, not $2b Air Tanzania Buys 4 New Boeing Planes at USD 726 Million.

The cost of expanding and mordenizing Dar port is $421m, not $1b as you allude here Tanzania announces $421m project to strengthen Port of Dar es Salaam infrastructure

Tanga port is pale shadow of our second port, Lamu both in cost and economic importance, so don't even mention it here. The value of Tanga port, Karema port and Mtwara ports combined bado haifikii ya Lamu alone!

Dar-Chalinze expressway is a project still on paper. Not even a single layer of soil has been moved so I don't understand why you mentioned it.

Have a good evening bongolala
It is better you ask for explanation rather than portraying your ignorance here. Air Tanzania hiyo figure uliyoweka ni new order ya ndege ambazo hazijafika ukijumlisha na ambazo tumeshanunua figure ni USD 2bn

On SGR we are building from Dar to Mwanza and Kigoma so figure yako uchwara ya USD 1.9bm kaa nayo ujifariji.

Dodoma is heavily under construction unlike Konza city a project of less than USD 5bn mnashindwa ku implement miaka nenda rudi.




Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
You could have done better by giving links to ascertain the cost of these "projects"

And why are you even mentioning Bagamoyo port while we all know it's non-existing. Ama tuletee picha za ujenzi tuone.

The value of Dodoma development doesn't even come close to Konza City ($14.5b)

Julius Nyerere Hydropower is $2.9b not $3.2

The cost of your sgr is $1.9b, not $14.7b

LNG is $30b, not $40b and it's still in limbo

Hayo mengine ni vihoja. What is air Tanzania "modernization"? How is an airline modernized? If you meant expansion, then it's a paltry $726m project, not $2b Air Tanzania Buys 4 New Boeing Planes at USD 726 Million.

The cost of expanding and mordenizing Dar port is $421m, not $1b as you allude here Tanzania announces $421m project to strengthen Port of Dar es Salaam infrastructure

Tanga port is pale shadow of our second port, Lamu both in cost and economic importance, so don't even mention it here. The value of Tanga port, Karema port and Mtwara ports combined bado haifikii ya Lamu alone!

Dar-Chalinze expressway is a project still on paper. Not even a single layer of soil has been moved so I don't understand why you mentioned it.

Have a good evening bongolala
Kama terminology ya ku modernise airline inakupiga chenga tuta discuss nini between us. Wewe endelea tuu na mitungi ya changaa inayoruka.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hawa vilaza think we get excited about every little project that's happening in our country like they do. Tukianza kupost all the projects taking place on this country they'll just run mad!
Wacha kubweka bure hapa weka project za over 1bn USD tuanze kazi hatutaki project ndogo ndogo zinamaliza nafasi tuu humu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
It is better you ask for explanation rather than portraying your ignorance here. Air Tanzania hiyo figure uliyoweka ni new order ya ndege ambazo hazijafika ukijumlisha na ambazo tumeshanunua figure ni USD 2bn

On SGR we are building from Dar to Mwanza and Kigoma so figure yako uchwara ya USD 1.9bm kaa nayo ujifariji.

Dodoma is heavily under construction unlike Konza city a project of less than USD 5bn mnashindwa ku implement miaka nenda rudi.




Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
So kwa hiyo list yangu yote umeona tu uguze vitu viwili ambazo zinakupa upesi?! 😂 😂

What about the rest? The Bagamoyos et al?

Dodoma is a town that has been in existence since Tanzanian got independence. Konza City is a new city being built from scratch. At the moment, we are doing horizontal work. Laying down the necessary infrastructure before, vertical works begin.

Bongolala, most of the projects you posted here and nonexistent and the few that do you exist you overquoated the figures. Kubali yaishe.
 
Hivi jamaa Magufuli alikukosea nini mbona kila siku ni kumtaja taja tu huoni wenzako hata hawamzungumzii?

Ulikuwa unakomaa alikufia...alikufia....watu wakakupuuza sasa hivi umeona utafute utoke vipi, umeanza tena.

Mpumzishe basi marehemu apumzike kama wastaafu wenu ambao wamelala na huwa hatuwasemi. Kumsema marehemu ni kupungukiwa hekima kwasababu hasikii na hawezi kujitetea.
Cheki mdanganyika, You cannot tell me what I can say or not say hapa jf.
Magufuli was stupid according to me. You don't have to subscribe to that. Kama alikua mungu kwako well and good.
 
Back
Top Bottom