Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What's the value of those projects happening in Dodoma? I would appreciate if you include a link to your information
Kuona ni kuamini, we linganisha tu mwenyewe, tumia common sense tu .. mimi sihangaikagi na makaratasi mimi
 
Kwa kauli yake amesema watu walitegemea miradi itakufa lakini yote inafanyika. Amesema hivyo jana. Bado muda upo yote yanawezekana.Tusubiri tuone wengine hatupo karibu na miradi mkuu.
Tatizo siyo kufanyika tatizo ni mahesabu ya uchumi .....project per time , kama mradi wa kukamilika kwa mwaka mmoja ukachukua miaka kumi hiyo ni stupid development and stupid economic
 
Msikieni huyu mbwa, eti SGR ni $1.9bn, ingekuwa hivyo c kila nchi duniani ingekuwa na electrifitried SGR[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata sielewi hizo figures amezitoa wapi, karibia zote zina upungufu.
 
Tatizo siyo kufanyika tatizo ni mahesabu ya uchumi .....project per time , kama mradi wa kukamilika kwa mwaka mmoja ukachukua miaka kumi hiyo ni stupid development and stupid economic
Hapa nimekusoma mkuu,nguvu zinahitajika za ufuatiliaji na kupush mambo yaende inavyotakiwa.
 
Back
Top Bottom