7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Nimeona uongo siwezi kuamini.Basi leo umeona
Nimeona uongo siwezi kuamini.Basi leo umeona
Tz kuna gravitron?hii munaitaje kwenu??😂😂👇👇
View attachment 2221635
Leta treni zenu tulinganishe na zetuNaona bado una maumivu ya jana. 😂🤣🤣
Nikisema hizo zenu ni za kishamba unakasirika, these is the legit one inazunguka hadi upside down. 🤣 🤣
I asked you a very simple question na sijui ni kwa nini unashindwa kujibu. Ulisema bidhaa zenu zimejaza shelves zetu, hebu nitajie tu tano kati ya hizo bidhaa. It's that simple bongolalaNitajie nchi yoyote maskini ambayo ina export zaidi kwa nchi tajiri kuliko ku import toka kwa hiyo nchi tajiri.
ingine ya kishamba 🤣 🤣 🤣 haiwezi hata spin.najua umekasirika kuona hii 😂😂👇👇
View attachment 2221653
Ndio maana kuna option ya kigoma port na kalema ambayo is more secure and cheapHivi usalama wa hii reli utakuwaje maana geographical location ya Congo ni misitu mikubwa yenye wapiganaji wengi wanaoisumbua serikali ya DRC, hawawezi kufanya sabotage na kuharibu huu mradi?
Siku hizi na wewe umeanza kukuwa na wivu?Pamoja na haya mapicha yote wewe jua kwamba uzinduzi ni mwaka wa 2024.
Naona bado una maumivu ya jana. 😂🤣🤣
Unataka nilike rail track? 😂 😂 😂 😂Ulivyo na wivu plus roho mbaya umeshindwa hata ku like mbwa wewe wkt vitu vyote nilivyoweka humo nyie hamna![]()
kwa kwa kwa kwa umepanic tayar 🤣🤣🤣ingine ya kishamba 🤣 🤣 🤣 haiwezi hata spin.
Pamoja na haya mapicha yote wewe jua kwamba uzinduzi ni mwaka wa 2024.
Alafu unajiitanga msomi 😂 😂Enda ulilie kwa twitter![]()
Unataka nilike rail track?
You are going nuts
Toka hapo mwananyamala utembeee uone duniaHii reli Hakuna nchi Afrika inaweza kuingiza pua kushindana kwa viwango bora labda morocco tu
Vitu legit ni kama hii. Wachana na hizo zenu za kishamba, zimetengenezewa watoto. 🤣 🤣 🤣kwa kwa kwa kwa umepanic tayar 🤣🤣🤣
Vitu legit ni kama hii. Wachana na hizo zenu za kishamba, zimetengenezewa watoto. 🤣 🤣 🤣
Hii huwezi pata bongo mzima.
Sisi hatuna rollercoaster kwa maana tuliona hakuna haja ya kujenga utopolo kama mliojenga. Nyie hamna Ferrisukipata roller coaster kenya nitag na mm nikuoneshe ferries wheel tena ziko zaidi ya 3😂😂😂😂