Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Karibu Dar es Salaam

Screenshot_20220510-213414.png
 
umenifanya nicheke sana man...
Sasa hawa jamaa wanatuona eti hatuna maisha kama wao...mimi nacheka sana humu...alafu Watz wengi kwenye hili jamvi ni watafutaji haswaa na shule ipo...usikae kinyonge namna iyo mkuu
Hahaha noma sana kiongozi..

Sio kinyonge ila lazima tuishi. Connection muhimu bablai..
 
Lolote linawezekana huwezi amini kama kuna nyakati Japan alikuwa juu ya China na alishawahi mnyanyasa sana mchina kijeshi lakini leo kaachwa mbali.Hii itatokea soon Tz itaibwaga Kenya
Lakin hadi leo Japan ni developed while China is developing..gdp per capita ya Japan ni kubwa zaidi×4 ya China...Japan imeshaendelea considering wako 125M kua na gdp la karibu 5trillions sio jambo la mchezo...hao jamaa ni matajiri balaa...Tokyo pekee yake ni tajiri kushinda any city ya wachina ,Usifanye mchezo na Japan
 
Sasa hapo ujaelewa nini? nani kasema kuwa utakuwa raia wewe ujaelewa kuhusu uraia wa moja kwa moja na uraia wa kuombwa hayo yaliyo andikwa kwenye katiba yana fafanua uraia wa moja kwa moja ila kwenye swala la uraia wa kuombwa ni tofauti hata baba na mama yako wakiwa siyo watz unaweza kuomba na kupewa kama wanavyo pewa wachezaji wa mpira hapa tz ,tatizo IQ yako ndogo ndiyo maana unachanganya madesa kuhusu hiyo katiba
Kikatiba Raia wa kuomba hawezi kuwa Rais wa nchi ya Tanzania! Rais Lazma azaliwe na mama wa Kitanzania na ndani ya mipaka ya Tanzania!
 
Nadhani wanataka kutoa ile verse ya Mungu ibariki Afrika.
Sidhani kama ni sawa, tulijjiengea heshima kwa kutokuwa wabinafsi ni bora tuendelea hivyo hivyo halafu sasa mambo mengine tufanye wenyewe kujenga uchumi wetu.

Hii ni kumbukumbu nzuri sana kwa vizazi vijavyo hata wakiuliza wataambiwa Tanzania ilijitoa kusaidia wenzao enzi hizo ambao walikuwa na matatizo pasipo kuwa na maslahi yoyote lakini kwa uzalendo uliotukuka.

Eneo lote la maziwa makuu kama siyo amani ya Tanzania lingekuwa limechafuka vibaya mno.
 
Back
Top Bottom