Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huo ndio ukweli bwana tuusan, haihitaji elimu kuutambua ukweli huo, tafsiri ya maendeleo daima ni kinachoonekana sio zinachozungumzwa..
Kwahyo kwakua unaifuatilia China ndio Japan haijawah exist?fuatilia Japan ndio ujue China bado sana
 
Haya mambo Tz ilifanya kitambo sana enzi hizo bongo fleva ndio inakuwa but kwa ss hatuna mpango nao, mapromota waliona wanapata hasara baada ya kugundua ukimuweka Rihanna taifa kwa kiingilio cha shilingi 5000 alafu ukamuweka Diamond Mlimani City kwa kiingilio cha 100,000 Rihanna hapati watu.
Unadhani Rihanna anakuja kuperform. 🤣 🤣 🤣 🤣 Soja wewe ni fala, read to understand, don't read to reply.
 
Hivi hapo shida ni contractor au ni wasimamizi wa ujenzi? Embu tujadili hili maana matukio kama haya kwa jirani yanajirudia sana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mchina anajua fika kwamba jamaa hawana uelewa wa quality works ndiyo maana kawawekea majani kwenye flyover ambayo tayari yameshakauka
 
Back
Top Bottom