Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila wakenya Wana matatizo hawajui kiingereza vizuri nor kiswahili 😂😂😂, bora na sie tunachokiswahili tunajua fluently na kinge cha kujifunza.. sisi ni bilingual society, wao wanaeza sema ni akina nani.? Becz them neither speak good English nor Swahili .. they ar not competent in both languages 😂😂😂
Kwenye kuzungumza na kuandika Kiingereza Kenya inaifanyia Tanzania madhambi namna hii
#ufc 274
1652061711919.png

1652061872499.png
 
sasa unatuletea website ambayo haina relevance, ya pili ni post ya kitambo sana wakati park inakuwa renovated na pia hio website wameweka hizo chargers kama speculation na wameandika vizuri kuwa itakuwa revised ikishafunguliwa... Watanzania mtaacha lini kiki 😅😅 na umama.. website yenyewe umeisoma?View attachment 2217331
Mpaka leo haijafunguliwa?
 
Huju jamaa huwa anapenda kulazimisha issues sana 😅

Mimi niko Mombasa sijawahi kusikia mtu amelipa kuingia mama ngina waterfront, let alone mimi mwenyewe kulipa so wewe endelea kuamini unachotaka, naona wewe ni kawaida yako ku force sana😅😅
Very expensive entrance fees yet nothing to expect 😅

 
Sasa uzinduzi wa JNHPP umesongezwa kutoka mwaka wa 2022 hadi 2024 halafu unashangaa nini mradi huu unapoitwa white elephant? Hio 2024 itasongezwa tena hadi 2025 subiri tu utaona.
Hata SGR kilomita 200 imewashinda kumaliza miaka mitatu baada ya tarehe ya uzinduzi wa November 2019.
Sitashangaa ikiwa treni yenu ya umeme itakosa umeme wa kuiendesha hii August wakati wa uzinduzi.
Mzee uache uongo SGR Dar-Moro ujenzi wake ulianza August 2017 na ni mkataba wa miaka mitatu yani ilibidi uishe 2020 mwezi kama huo lakini kutokana na changamoto za KORONA uka delay almost mwaka mmoja na miezi kadhaa ..hiyo 2019 we umeipata wapi.?
 
Kwenye kuzungumza na kuandika Kiingereza Kenya inaifanyia Tanzania madhambi namna hii
#ufc 274
View attachment 2217556
View attachment 2217557
Ilibidi ulinganishe Kenya na Tanzania katika Lugha ya kwanza ya mataifa haya mawili, kiingereza kwetu ni lugha ya pili, sio lazima kuijua.

In Tanzania Kiswahili is our primary and National language, it is our language by birth, someone doesn't need to go to school to be fluent.

English is only for few people, especially those who went through secondary education, therefore it is our second language which is used mainly in urban areas. We don't use it frequently and we don't need it mostly.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ilibidi ulinganishe Kenya na Tanzania katika Lugha ya kwanza ya mataifa haya mawili, kiingereza kwetu ni lugha ya pili, sio lazima kuijua.

In Tanzania Kiswahili is our primary and National language, it is our language by birth, someone doesn't need to go to school to be fluent.

English is only for few people, especially those who went through secondary education, therefore it is our second language which is used mainly in urban areas. We don't use it frequently and we don't need it mostly.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hehe naona umeamua kujitetea vilivyo.
 
Mzee uache uongo SGR Dar-Moro ujenzi wake ulianza August 2017 na ni mkataba wa miaka mitatu yani ilibidi uishe 2020 mwezi kama huo lakini kutokana na changamoto za KORONA uka delay almost mwaka mmoja na miezi kadhaa ..hiyo 2019 we umeipata wapi.?
Deadline ya Dar-Moro SGR ilikuwa November 2019. Soma hii article ambayo iliandikwa 2019 ikieleza kwamba ujenzi hautakuwa umekamilika kabla ya deadline.

First phase of Dar SGR likely to miss deadline slowed by rains​



SUNDAY NOVEMBER 03 2019​

dar

An aerial view of the Standard Gauge Railway line in Dar es Salaam. Tanzania will join Kenya and Ethiopia in running a modern railway service in the greater East Africa. PHOTO | EMMANUEL ONYANGO | NMG

Summary

  • Bad weather has affected the laying of the tracks on concrete sleepers along the line and paralysed drilling works.
  • The rains have also paralysed drilling works at a hill where a tunnel needs to pass through as well as building of bridges.
  • The SGR will cover 1,457kms from Dar es Salaam to the shores of Lake Victoria, and will cost $7.5 billion over the next five years.
ADVERTISEMENT

General Image

By EMMANUEL ONYANGO
More by this Author

Tanzania is unlikely to meet the November deadline for the first phase of the 300km-long $1.9 billion standard gauge railway being built between Dar es Salaam and Morogoro.

Sources from the Tanzania Railways Corporation told The EastAfrican that the current short rains have slowed laying of the tracks on concrete sleepers along the line.

The rains have also paralysed drilling works at a hill where a tunnel needs to pass through as well as building of bridges, which have to be constructed in dry weather.

Jamila Mbarouk of TRC said despite a slow down in construction, the SGR project is at an advanced stage. She said construction at various sites has reached 70 per cent.

 
Very expensive entrance fees yet nothing to expect 😅


Nyingine hii hapa. Deadline ya Dar-Moro ilikuwaa ni November 2019. Miaka miwili unusu baadaye bado 200 kilometres imewashinda kukamilisha halafu mnatutambia na SGR yenu??

Tanzania’s SGR Well on Schedule for its First Flight in Nov., 2019​

February 22, 2019

By Staff Writer, Nairobi
A 2.5 kilometer bridge will colour the SGR over and above some Dar es Salaam streets



In what may be termed as the ‘Magufulification’ effect in infrastructure, the construction of the Standard Gauge Railway (SGR) from Dar es Salaam to Morogoro has reached more than 42 percent which is well on schedule for the handing over of the first lot in November, 2019.
In May last year, President John Magufuli launched the first construction phase of the SGR from Dar es Salaam to Morogoro. Upon its completion, Tanzania will have a fast and modern passenger train with a speed of 160kph while the freight train will have a top speed of 120kph.
Tanzania signed the agreement with Turkish Yapi Merkez and Portuguese Motor Engil firms to construct the Dar e salaam Morogoro Stretch at Tsh. 2.7 Trillion (Over $ 1.2 billion) which is to be completed by November 1st, this year.
 
Deadline ya Dar-Moro SGR ilikuwa November 2019. Soma hii article ambayo iliandikwa 2019 ikieleza kwamba ujenzi hautakuwa umekamilika kabla ya deadline.

First phase of Dar SGR likely to miss deadline slowed by rains​



SUNDAY NOVEMBER 03 2019​

dar

An aerial view of the Standard Gauge Railway line in Dar es Salaam. Tanzania will join Kenya and Ethiopia in running a modern railway service in the greater East Africa. PHOTO | EMMANUEL ONYANGO | NMG

Summary

  • Bad weather has affected the laying of the tracks on concrete sleepers along the line and paralysed drilling works.
  • The rains have also paralysed drilling works at a hill where a tunnel needs to pass through as well as building of bridges.
  • The SGR will cover 1,457kms from Dar es Salaam to the shores of Lake Victoria, and will cost $7.5 billion over the next five years.
ADVERTISEMENT

General Image

By EMMANUEL ONYANGO
More by this Author

Tanzania is unlikely to meet the November deadline for the first phase of the 300km-long $1.9 billion standard gauge railway being built between Dar es Salaam and Morogoro.

Sources from the Tanzania Railways Corporation told The EastAfrican that the current short rains have slowed laying of the tracks on concrete sleepers along the line.

The rains have also paralysed drilling works at a hill where a tunnel needs to pass through as well as building of bridges, which have to be constructed in dry weather.

Jamila Mbarouk of TRC said despite a slow down in construction, the SGR project is at an advanced stage. She said construction at various sites has reached 70 per cent.

Unahangaika na railway ya Tanzania inayoelekea DRC, Rwanda na Burundi while ya kwenu hata kuanza haijaanza, nikiamua kuleta miradi mlioanza kwa mbwembwe lakini yote saivi imekufa kutatosha nafasi huku?

Screenshot_20220509-062209.png


images - 2022-05-09T062420.893.jpeg
 
Nyingine hii hapa. Deadline ya Dar-Moro ilikuwaa ni November 2019. Miaka miwili unusu baadaye bado 200 kilometres imewashinda kukamilisha halafu mnatutambia na SGR yenu??

Tanzania’s SGR Well on Schedule for its First Flight in Nov., 2019​

February 22, 2019

By Staff Writer, Nairobi
A 2.5 kilometer bridge will colour the SGR over and above some Dar es Salaam streets



In what may be termed as the ‘Magufulification’ effect in infrastructure, the construction of the Standard Gauge Railway (SGR) from Dar es Salaam to Morogoro has reached more than 42 percent which is well on schedule for the handing over of the first lot in November, 2019.
In May last year, President John Magufuli launched the first construction phase of the SGR from Dar es Salaam to Morogoro. Upon its completion, Tanzania will have a fast and modern passenger train with a speed of 160kph while the freight train will have a top speed of 120kph.
Tanzania signed the agreement with Turkish Yapi Merkez and Portuguese Motor Engil firms to construct the Dar e salaam Morogoro Stretch at Tsh. 2.7 Trillion (Over $ 1.2 billion) which is to be completed by November 1st, this year.
Hapa ndio Malaba?

Screenshot_20220509-062715.png


Screenshot_20220421-132247.png
 
Nyingine hii hapa. Deadline ya Dar-Moro ilikuwaa ni November 2019. Miaka miwili unusu baadaye bado 200 kilometres imewashinda kukamilisha halafu mnatutambia na SGR yenu??

Tanzania’s SGR Well on Schedule for its First Flight in Nov., 2019​

February 22, 2019

By Staff Writer, Nairobi
A 2.5 kilometer bridge will colour the SGR over and above some Dar es Salaam streets



In what may be termed as the ‘Magufulification’ effect in infrastructure, the construction of the Standard Gauge Railway (SGR) from Dar es Salaam to Morogoro has reached more than 42 percent which is well on schedule for the handing over of the first lot in November, 2019.
In May last year, President John Magufuli launched the first construction phase of the SGR from Dar es Salaam to Morogoro. Upon its completion, Tanzania will have a fast and modern passenger train with a speed of 160kph while the freight train will have a top speed of 120kph.
Tanzania signed the agreement with Turkish Yapi Merkez and Portuguese Motor Engil firms to construct the Dar e salaam Morogoro Stretch at Tsh. 2.7 Trillion (Over $ 1.2 billion) which is to be completed by November 1st, this year.
We nyumbu sgr imekamilika yote kinachosubiriwa ni trains testing and commission

Video zipo tele mitandaoni kalete ushahidi mahali ambapo hapajajengwa
 
View attachment 2217507NairobiWalker, may be u didn't understand wht i actualy ment. i was actualy responding to Shebby01 who said that kenyans prejudice or see tanzanians in a negative way. i was actual assuring him tht whatever he just said is actualy very true ie.'concuring', tht kenyans think of tanzanians as an inferior country.

nb: their's no day I can ever befriend these idiots.!!
Heehee
 
View attachment 2217507NairobiWalker, may be u didn't understand wht i actualy ment. i was actualy responding to Shebby01 who said that kenyans prejudice or see tanzanians in a negative way. i was actual assuring him tht whatever he just said is actualy very true ie.'concuring', tht kenyans think of tanzanians as an inferior country.

nb: their's no day I can ever befriend these idiots.!!
We don't give a ***😀 what you think of us nyie ndo huwa mnajipendekeza kwetu au nasema uongo😀?
 
Deadline ya Dar-Moro SGR ilikuwa November 2019. Soma hii article ambayo iliandikwa 2019 ikieleza kwamba ujenzi hautakuwa umekamilika kabla ya deadline.

First phase of Dar SGR likely to miss deadline slowed by rains​



SUNDAY NOVEMBER 03 2019​

dar

An aerial view of the Standard Gauge Railway line in Dar es Salaam. Tanzania will join Kenya and Ethiopia in running a modern railway service in the greater East Africa. PHOTO | EMMANUEL ONYANGO | NMG

Summary

  • Bad weather has affected the laying of the tracks on concrete sleepers along the line and paralysed drilling works.
  • The rains have also paralysed drilling works at a hill where a tunnel needs to pass through as well as building of bridges.
  • The SGR will cover 1,457kms from Dar es Salaam to the shores of Lake Victoria, and will cost $7.5 billion over the next five years.
ADVERTISEMENT

General Image

By EMMANUEL ONYANGO
More by this Author

Tanzania is unlikely to meet the November deadline for the first phase of the 300km-long $1.9 billion standard gauge railway being built between Dar es Salaam and Morogoro.

Sources from the Tanzania Railways Corporation told The EastAfrican that the current short rains have slowed laying of the tracks on concrete sleepers along the line.

The rains have also paralysed drilling works at a hill where a tunnel needs to pass through as well as building of bridges, which have to be constructed in dry weather.

Jamila Mbarouk of TRC said despite a slow down in construction, the SGR project is at an advanced stage. She said construction at various sites has reached 70 per cent.

SGR ikianza kazi mkumbushe Onyango huyuhuyu aandike article..asikae kimya
 
Siku hizi taratibu wameanza kuhamia kwenye Kiswahili baada ya kuona Tanzania tumefanikiwa kutoboa bila kutumia English. Zamani hakuna mkenya ambaye alikua akisikiliza "Swahili music".

Zamani Kenya ukisikika unazungumza au kusikiliza muziki wa Kiswahili, ulidharaulika Sana, siku hizi wanatuzidi hata sisi kwa kusikiliza muziki wa Tanzania, na wanajisifu kwa kusikiliza muziki wa Kiswahili, Kenya ni nchi ya vituko Sana.
Tony254
dyfre


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Jinga Sana hawa jamaa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom