NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,975
Heehee, kawaida ya wabongo kukwepa mada, sasa ushatoka kwa golf course na bahari sahii upo kwa Nala, Heehee. Shida tupu.Naona umeondoka na mada ya bahari 😂😂😂 soma tena vizur post yangu 👇.. jana watu wanazungumzia Nala money kama kampuni ya kibongo kuonekana matangazo yake UK, wewe ukaleta story za phrase ya kiswahili 😂😂😂




