Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1.jpg


Geza Ulole
 
It is called citizenship by marriage. Usijiskie sana. My friend married a Tanzanian woman last hear, he's definitely one of those 9.
Tanzania sheria haziruhusi mwanaume wa nje aliyeoa mtanzania apewe uraia hata watoto waliozaliwa na mwanamke wa Tanzania na mwanaume wa nje wanakuwa sio watanzania. Hao itakuwa mwanaume mtanzania kaoa mwanamke wa kenya.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kote huku hakuna viti aisee, alafu wakunya hawapendi kabisa michezo ona uwanja ulivyo empty.View attachment 2215258
Sio hawapendi michezo shida ni disposable income hakuna. Muda wote wanatafuta hela ya kula by the day. Hata wewe kwamfano utakuwa tayari kweli ulipe dola 10 ukaangalie mechi wakati unajua fika baada ya hapo unarudi kwenye slum kwenye accommodation ya full suti bati hapo hela yako lazima uionee uchungu tuu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom