Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania ina ushawishi kweli 😃😄

Screenshot_20220507-084913.png
 
Weka post yangu niliyokutukana ambayo " I quoted this post of yours". Pili kwani huyo mkenya hapo kwenye Twitter anazungumzia media za Tanzania au anashangazwa na serikali ya Tanzania kufanya sherehe kila wakati?, Tumia akili yako.

Wewe ulikua unashambulia media za Tanzania, yeye anashangazwa na viongozi wa Tanzania kwamba muda mwingi wapo kwenye sherehe badala ya kufanya kazi, Sasa Kuna uhusiano gani hapo?, Kumbuka sio lazima kuona yanayofanywa na viongozi wa Tanzania kupitia TV stations na redios, siku hizi 80% Hutumia mitandao ya kijamii.

Ila ninasubiri uweke post yangu niliyokutukana, usitoroke

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkenya Julius Yego ameshinda Silver katika Javelin (kurusha mkuki). Jamaa wa Egypt ndio kachukua gold.
 
Rais Uhuru ameshakuja Stadium na kuzindua mchezo. Sasa ni kina dada 400 metres.
IMG_20220507_150641.jpg
 
Back
Top Bottom