Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hivi, huyu Lwiva bado haamini hapa ni SA, ana insist eti hapa ni kenya. uwivu ya wadanganyika




Screenshot_20220506-214912_Chrome.jpg
Screenshot_20220505-225249_Chrome.jpg
Screenshot_20220506-121810_Chrome.jpg
Screenshot_20220505-225722_Chrome.jpg
Screenshot_20220505-225024_Chrome.jpg
 
Wacha kujipiga kifua dumb,siku zote tajiri afi njaaa, wala hali mafiiii...icho kiushuz cha barabara ndio unatambia hapa, wala haiko tofaut na ile ya arusha
You are the biggest idiot here. Kuna interchange Arusha? Kuna overpass Arusha? Hiyo barabara ya Arusha hata haiezifikia za Kakamega.
 
Gdp ya Zimbabwe naona imeshuka sana in the last 2 to 3 years. Sijui ni madhara ya covid 19 au nini? Walikuwa na gdp per capita kubwa ila sasa naona imeshuka. Kwa sasa mnawatoa kamasi kulingana na hio country comparison niliyoisoma. Hamna haja ya mimi kufanya comparison kwa maana naona mumeshinda kwenye hio comparion. Ila najua hutaki kufanya comparison ya KE vs TZ.
Kuanzia mwanzo wa huu uzi mlikua mnapost picha za nchi za watu na kusema kua ni kunyaland . Halafu wenyewe hata mkiona mnasema uongo hakuwezi kosoana na watanzania . Nadhani kuna somo mmepata . Hata mimi nilikua blinded na kudhani Nairobi ni noma . Uzi umefunguaacho wengi plus kwenye mazingira ya kazi nimekutana na wakunya most wana arrogance na much za ajabu japo sio wote plus overconfidence . Kuna mmoja alikua ana shout halafu Hana logic wakati yupo bongo . Nikabaki namwangalia na kucheza. Honesty upole wa kitanzania unasaidia kumdharau mtu na kuepusha Shari .

Kuna site inaitwa jiji ipo kenya nimeangalaia house rent za kunya hadi huruma ndio maana wengi wanaishi slum
 
Kuanzia mwanzo wa huu uzi mlikua mnapost picha za nchi za watu na kusema kua ni kunyaland . Halafu wenyewe hata mkiona mnasema uongo hakuwezi kosoana na watanzania . Nadhani kuna somo mmepata . Hata mimi nilikua blinded na kudhani Nairobi ni noma . Uzi umefunguaacho wengi plus kwenye mazingira ya kazi nimekutana na wakunya most wana arrogance na much za ajabu japo sio wote plus overconfidence . Kuna mmoja alikua ana shout halafu Hana logic wakati yupo bongo . Nikabaki namwangalia na kucheza. Honesty upole wa kitanzania unasaidia kumdharau mtu na kuepusha Shari .

Kuna site inaitwa jiji ipo kenya nimeangalaia house rent za kunya hadi huruma ndio maana wengi wanaishi slum
Jina darslam haiskiki ata Burundi and you want to compare it with world class cities like Nbi!! Alafu shida yenu apart from jamiiforum hakuna mahali utaona bongolala aki compare Nairobi na dar
 
Back
Top Bottom