Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua kama barabara kubwa zote za DSM ni six Lanes (two dedicated lanes for BRT).? Hapo kwenu barabara kubwa Pana ni moja tu thika high way, ambapo na Dar nayo ni Kimara kibaha.. Thika high way usiwatie ujeuri wa kutaka kujilingasha na barabara za DSM zenye ziko na BRT lanes mzee
Leta Barabara nasi tulete we see... Actually ndo nimegundua Dar Haina Bara Bara except moja. And outside CBD hakuna Barabara kubwa. Leta Bara Bara uweke Jina length and inatoka wapi tu wapi ndio usirudie same roads...
 
Usisahau kwamba Kazi hiyo ilifanywa na yule mjeda wa Magufuli ndio maana Rais Samia kamtumbua,watu wanasema apelekwe kwenye court ya kijeshi..

Kila sehemu Dhalimu aliweka sukuma gang wenzie kimkakati Ili kuratibu upigaji..

Bado Masanja kadogoasa kuwadi wa Yapi Merkez.
Kwaiyo nimakosa ya mwendazake sio tukutane 2025
 
Nyie mnazo ngapi barabara za hivyo .?kama sio thika road tu, ya pili ni barabara anayomiliki mchina mliyopata juzi.?
Hey idiot, Kenya is not a poor country like Tanzania 😂

University way.

1646560208273 .jpg


1646560151451 .jpg


20220420_104324.jpg
 
Whaaat 😂😂😂😂😂 Wacha watanzania washinde kelele tu mtandaoni kumbe Kwa uwanja wanapigwa Na Kila MTU. Nangoja mwaka Uganda itawapita wabaki wakisema data za mzungu, hehe
Tanzania is only developed Kwa midomo😂
 
No we aren't the once who are dilusional believing that world bank cooks data against us. Instead of working hard the politicians lie to the public that they bigger than other countries to gain favor with the general public but in reality all they have is just three shiney projects with no true economic value that can generate real income or add real value to the general public or real economic change.... The only thing that will bring some slight change is the dam others are just big for nothing projects Ni urembo tu
Your own perspective

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Leta Barabara nasi tulete we see... Actually ndo nimegundua Dar Haina Bara Bara except moja. And outside CBD hakuna Barabara kubwa. Leta Bara Bara uweke Jina length and inatoka wapi tu wapi ndio usirudie same roads...
Anza wewe kuweka barabara zenye ziko na six lanes ukiondoa thika road hapo kwenu, six lanes (exclude feeder roads) kama utaweza hiyo battle
 
sasa kila wakati unapoicheka Kenya pia nae uicheke "kaka zenu" wa dhati, South Africa

usitumie Slums kama kigezo cha ku gauge umaskini wa nchi. south africa(2nd largest gdp in sub saharan) is a rich country, and so is kenya(3rd largest gdp in sub saharan africa)


mean while, here are also Slums in South Africa, the great "Kaka Zenu"View attachment 2213767View attachment 2213171View attachment 2213172View attachment 2213173View attachment 2213174View attachment 2213175View attachment 2213176View attachment 2213177
Hiyo ni kunya banaacha maneno mingi naona keja za slum kabisa na wakunya wapo.
 
Anza wewe kuweka barabara zenye ziko na six lanes ukiondoa thika road hapo kwenu, six lanes (exclude feeder roads) kama utaweza hiyo battle
Hey idiot, Kenya is not a poor country like Tanzania 😂😂

Southern bypass

13459236_1342632847fornairobi202011272jpeg1a54512cb5042546fbb9b5595ad05d56_jpeg_jpeg37c7bf56d...jpeg


1651581847835 .jpg


1651582226104 .jpg


1651581312180 .jpg
 
So you concur that GDP is not a good measure of wealth sio? You can have a bigger GDP amid poverty everywhere likewise you can have a smaller GDP but wealthier. It all boils down to microeconomics of that particular country.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
You are partially right but keep in mind that we are only talking about extreme poverty which is a small section of the population. It is still possible for Kenya to have a bigger and wealthier middle class than Zimbabwe. WB was only looking at one segment which is the people who are extremely poor, they were not doing research on everyone in the society. There is also poverty that is above extreme poverty. Yaani someone who can afford food and shelter but cannot afford health care or education. This person is still poor but is not extremely poor. So WB were only looking at one specific category which is extreme poverty. It is possible that Kenya has beaten Zimbabwe in the other categories, you never know. I would be slow to conclude that Zimbabweans are wealthier than Kenyans by looking only at one segment of the society.
 
Back
Top Bottom