The best 007 usije ukaweka nuclear-tipped missiles maana pale tu ndio wametutoa kamasi. 😁😆Ndio tumewazidi N. Korea. Kama una ushahidi kinzani weka hapa.
In Kenya over 60%!Hehehe the person who said that Tanzanians use 1% if their brain didn't lie🤣🤣😂😂👇👇
View attachment 2213976
View attachment 2213979
sikilizen hii.. walikula sawa na urefu wa kamba zao
Kwani mumeanza kupigwa leo hii Kisa mafuta?Kwa Zanzibar Kila kitu ukiacha vyakula bei zake ziko chini kuzidi Bara miaka yote .Mzee Tanganyika tunapigwa vibaya mno, mchwa ni wengi sana na wanatutafuna kweli kweli.
Sukuma gang mna Hali mbaya,lazima ujue hiyo ni kwa mujibu wa ripoti ya CAG ya mwaka 2020/2021.Acha watu watafune pesa za uviko izo si wanafanya kazi kutoka moyoni sio kwa kumuogopa mtu 😅😅😅 sasa vitisho tena vya nn
Hii sio serikali ya kutishia kuua,ukileta tuhuma weka ushahidi,,hili Lina ushahidi serikali imechukua hatua na Wala sio Hawa tuu kuna sehemu kibao za hivi wamechukuliwa hatua..Yaani hapa walipiga kweli kweli kwa urefu wa kamba hao, na hawatafanywa chochote, hili ni eneo moja bado yapo mengine kama haya.
Ukianza kuongea vitu kama hivi unaambiwa leta ushahidi, sasa hiki ni nini si ni ushahidi tosha huu?
Watendaji wanabembelezwa kwa lugha laini sana maana huu ni utawala wa kidemokrasia aliyekuwepo ni dikteta. Sawa ngoja tuone mwisho wake utakuwaje.
Kwani unajua kuliko world bank?In Kenya over 60%!
Watazibadilisha nyingi tuu,tena juzi wanahabari walisema Samia ni mkuu wa kwanza wa Nchi kuhudhuria siku ya uhuru wa habari maana wengine huwa wanakimbia.but niliona mahali Samia anataka kubadilisha hizo sheria 'kandamizi' za wanahabari
Mimi sikufundishwa kuiba tangu utoto wangu hadi uzima huu nilichonacho kidogo nimeridhika.Ushahidi gani unautaka wakati unaona watu wanaenda kuhojiwa. Vipi kama tusingesema? Au hutaki malalamiko jamaa?Hii sio serikali ya kutishia kuua,ukileta tuhuma weka ushahidi,,hili Lina ushahidi serikali imechukua hatua na Wala sio Hawa tuu kuna sehemu kibao za hivi wamechukuliwa hatua..
Ushauri na wewe kajipigie kwa urefu wa kamba yako uone moto..
Yule Rais wenu alikuwa ni mihemko ya kisenge tuu,mimi Niko kwenye sekta za barabara nafahamu cost zinategemea na terrains..Hata awamu ya 5 kuna barabara mzee alienda izindua nyanda za juu kisini ilikua kama 70km hv kwa 200+ billions hadi mzee akahoji lakini ilipita kimya kimya...sishabikii wizi lakini raisi anapigwa kule moyo wake unapodundia
Wewe utakuwa ni Mzanzibari kulingana na unavyozungumza.Sukuma gang mna Hali mbaya,lazima ujue hiyo ni kwa mujibu wa ripoti ya CAG ya mwaka 2020/2021.
Rais keshamtimua mteule wa Mwendazake yule mjeda.
Source?????? Au niandike kiingereza cha kijaluo ndio uelewe?
Kwanza Wana njaa,watakula makombora ya Kim 👇Kwani ni siri kwamba Kenya imeipiga North Korea?
North Korea ina gdp per capita ya $1,300 ambayo ni sawa na gdp per capita ya Tanzania.
View attachment 2213958
Tukija kwenye gdp, North Korea ina gdp ya $28.5 billion ambayo ni ndogo kushinda gdp ya Uganda. Na gdp ya North Korea ×3 bado haifikii gdp ya Kenya.
View attachment 2213961
Kwetu Njombe,sina ushabiki maandazi bali factsWewe utakuwa ni Mzanzibari kulingana na unavyozungumza.
Hapa hakuna cha Magufuli wala Kikwete au Samia wote wanaobainika kuiba, kufuja au kukwamisha miradi ya maendeleo wawajibishwe sawa sawa na makosa yao, mkiwa mnawataja wahalifu msijifiche kwenye mgongo wa wastaafu tafadhali, kila kazi ina taratibu na kanuni zake.Usisahau kwamba Kazi hiyo ilifanywa na yule mjeda wa Magufuli ndio maana Rais Samia kamtumbua,watu wanasema apelekwe kwenye court ya kijeshi..
Kila sehemu Dhalimu aliweka sukuma gang wenzie kimkakati Ili kuratibu upigaji..
Bado Masanja kadogoasa kuwadi wa Yapi Merkez.
Cc The best 007