Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi sikufundishwa kuiba tangu utoto wangu hadi uzima huu nilichonacho kidogo nimeridhika.Ushahidi gani unautaka wakati unaona watu wanaenda kuhojiwa. Vipi kama tusingesema? Au hutaki malalamiko jamaa?

Tutatoa sana tuhuma na nyinyi mtakuja kupinga huku watu wakiwajibishwa. Kila saa toa ushahidi wakati unasikia mahali kwingine kuna malalamiko.

Tunaposema ni wajibu wa serikali kufuatilia kujua kiini ni nini na wala siyo kuanza kipinga pinga tu kila kitu.
Sio kwamba huna fursa 😂😂😂
 
Hapa hakuna cha Magufuli wala Kikwete au Samia wote wanaobainika kuiba, kufuja au kukwamisha miradi ya maendeleo wawajibishwe sawa sawa na makosa yao, mkiwa mnawataja wahalifu msijifiche kwenye mgongo wa wastaafu tafadhali, kila kazi ina taratibu na kanuni zake.
Hii Nchi bila taasisi imara na Katiba mpya na nzuri tutaendelea kupigwa hadi akili zikae sawa kwa sababu Watzn kwa asili ni watu wezi na wasipenda kujituma plus unafiki..

Ila kutegemea sijui watu ndio walinde ni kupoteza mda ,jamii yetu ina hulka ya wizi.
 
Kwa mujibu wa Makamba JR👇

Screenshot_20220505-185312.png
 
na uko very sure dar nikubwa saaana kuliko nairobi.! sikujua hivyo mchizi wangu. lazma kieleweke
View attachment 2213787
Dyfre bado unapinga tu ndg yangu? Hata hili unapinga kwamba Nairobi ni kubwa. Ebu nipe location hapo Kericho tupate kikombe cha chai pamoja tupige soga vizuri nikueleweshe vizuri maana umeamua kupingana na ukweli mtandaoni labda ana kwa ana tutaelewana man.
 
Wakuu muoneni huyu mkunya anachoongea
Aisee hata mimi nimebaki kinywa wazi.Hivi zile tu ballistic missiles wanazotengeneza na kuzifanyia majaribio kila mara zinacost shilingi ngapi moja tu?
Je wanazo ngapi.
Teknolojia yao ya ulinzi ikoje, mbona nchi nyingine ambao ni mahasimu wao hawasogezi pua kama wako weak kihivyo wakati wenyewe Alshabaab anawatesa kila uchao?

Kweli kuwa mkenya ni kipaji cha majigambo na uongo uliokithiri!!
 
Kama Wakenya wengi ni masikini wa kutupwa kama unavyosema basi iweje bodies zote tajika duniani zinakubaliana kwamba Kenya ndio nchi tajiri zaidi ukanda huu? Nazungumza kuhusu IMF, World Bank, UN, OECD, CIA na kadhalika? Whether unataka kutumia gni per capita, Kenya ina gni per capita ya
$2,200 wakati nyie mna gni per capita chini ya $1,200. Mumetoka Ldc juzi tu.

Ukiamua kukimbilia kwenye HDI huko pia tunawapiga kama mbwa kwa maana kwa mujibu wa UNDP Kenya ina HDI ya juu kushinda Tanzania.

Sasa huo utajiri wenu ulioshinda wa Kenya unatokea wapi? Tukiangalia data strictly na tuweke ushabiki kando basi Kenya imewashinda kwenye metrics nyingi za kiuchumi. Ila kwa sababu data inaonyesha Kenya ipo mbele yenu kwenye mambo haya, inawabidi mpuuze data na kusema kwamba data hio ni ya kwenye makaratasi ili kufurahisha nafsi zenu. Ila hata investors wanaosoma hizi data wanajua kwamba Kenya ipo more developed than Tanzania kwenye mambo mengi.

Hio ndio maana makampuni mengi tajika zinakimbilia Nairobi na hata zimeanza kususia South Africa kwa kiasi fulani. Google kwa mfano ilisusia kuanzisha ofisi yake ya kwanza ya research barani Afrika huko South Africa na kuamua kulianzisha Nairobi. Kwenye Twitter naona watu wa South Africa wanahisi wivu sana kwa kitendo cha Google kuchagua Kenya. Amazon, Microsoft, Oracle, IBM na other tech giants zimeanzisha their African office in Kenya. Endeleni kuamini kwamba Kenya ni size yenu ila data inaeleza wazi ni nchi gani ina a more developed economy kati ya hizi mbili. Haiwezekani kwamba kila international organisation tajika inakubali kwamba Kenya imewashinda kwenye haya mambo halafu nyinyi mpinge. Mnapinga kama nani?
Kwani hao waliosema Kenya is poorer than Zimbabwe ni kina nani?

Screenshot_20220506-171421_Opera.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
The only aquatic stadium in East and Central Africa is in Kenya.

 
Aisee hata mimi nimebaki kinywa wazi.Hivi zile tu ballistic missiles wanazotengeneza na kuzifanyia majaribio kila mara zinacost shilingi ngapi moja tu?
Je wanazo ngapi.
Teknolojia yao ya ulinzi ikoje, mbona nchi nyingine ambao ni mahasimu wao hawasogezi pua kama wako weak kihivyo wakati wenyewe Alshabaab anawatesa kila uchao?

Kweli kuwa mkenya ni kipaji cha majigambo na uongo uliokithiri!!
Uchumi wao ni mkubwa kuliko unavyokua reported hawa WB na IMF wanajiwekea viji data uchwara kama hauko nao sambamba.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom