Kinachomuuma huyo mama ni wananchi kuendelea kumkumbuka JPM kwa hiyo ataongea chochote cha kipuuzi.
Yeye badala afanye mambo mazuri yupo busy kuongea mipasho kwa wanaomkumbuka JPM.
Yaani akitaka watu waache kukumbuka awamu iliyopita basi afanye vitu vizuri vya msingi vitakavyo mgusa mwananchi.
Mwezi uliopita alisema Tanzania haipo tena uchumi wa kati halafu jana tena akasema Tanzania ipo uchumi wa kati...Yaani hata hajui kipimo kinachotumika kupima nchi kuwa uchumi wa kati.


Analazimisha kupendwa kwa kuongea shit zisizo make sense kuhusu awamu iliyopita.
Leo kaongelea kuhusu mikopo, ilitakiwa aseme mradi fulani tumechukua mkopo kiasi fulani.
Asituone wajinga, mikopo ya miradi mikubwa haitolewi kienyeji.
Afanye mambo mazuri ya kuifunika awamu iliyopita sio kuongea ujinga ujinga.
Halafu anajifanisha na US, kabla ya kujifananisha na US kwanza angeanza kufananisha mishahara.
Hayo ndo madhara ya kupata kazi kwa kutumia connection huku ukifahamu hauna ujuzi wowote.

