Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Simchukii namuambia ukweli.
Kuna tofauti kubwa kati ya kuchukiwa na kuambiwa ukweli.
Ni mara ngapi nimeandika humu watu wamkosoe kwa adabu wasitumie lugha za matusi?
Ni mara ngapi nimekosana na watu humu kwa kuwaambia tu wakosoe kwa adabu?
Mihemuko peleka huko unakochezaga.
Mjambiani fara sana huyu shit hole kabisa.juzi wakati natokea morogoro nimekutana na injinia wa sgr mmoja kanisibitishia kuwa kichwa cha treni ya umeme kilicholetwa cha majaribio ni kibovu akifai wamejaribu kukitengeneza ili kifanye jaribio la kwanza kimeshindikana sasa mpango ni kuleta kichwa kingine kutoka nje
 
Kinachomuuma huyo mama ni wananchi kuendelea kumkumbuka JPM kwa hiyo ataongea chochote cha kipuuzi.
Yeye badala afanye mambo mazuri yupo busy kuongea mipasho kwa wanaomkumbuka JPM.

Yaani akitaka watu waache kukumbuka awamu iliyopita basi afanye vitu vizuri vya msingi vitakavyo mgusa mwananchi.

Mwezi uliopita alisema Tanzania haipo tena uchumi wa kati halafu jana tena akasema Tanzania ipo uchumi wa kati...Yaani hata hajui kipimo kinachotumika kupima nchi kuwa uchumi wa kati.

Analazimisha kupendwa kwa kuongea shit zisizo make sense kuhusu awamu iliyopita.
Leo kaongelea kuhusu mikopo, ilitakiwa aseme mradi fulani tumechukua mkopo kiasi fulani.
Asituone wajinga, mikopo ya miradi mikubwa haitolewi kienyeji.
Afanye mambo mazuri ya kuifunika awamu iliyopita sio kuongea ujinga ujinga.

Halafu anajifanisha na US, kabla ya kujifananisha na US kwanza angeanza kufananisha mishahara.

Hayo ndo madhara ya kupata kazi kwa kutumia connection huku ukifahamu hauna ujuzi wowote.
Umemaliza mkuu nikiongeza ntaua kabisa.
 
Bongolala, JKIA has two terminals. Terminal 1 is arranged in a semi-circular orientation and is divided into four parts: 1A, 1B, 1C, and 1E are used for international arrivals and departures while terminal 1D is used for domestic departures and arrivals. Terminal 2 is used by low-cost carriers. The part you've circled is Terminal 1A. Bado kuna 1B, 1C, 1D na 1E.
View attachment 2211488View attachment 2211490

Lastly, JKIA has an additional International Arrivals section next to Terminal 1A
View attachment 2211493

Number mtazidi kusoma however much it pains
Huoni aibu kutaja hiki choo mbele ya airport za watu?
 
That's not a terminal! A terminal is a separate building! U can't have one building and call her sections/gates different terminals!
Wewe Methuselah what do you understand by the word terminal?
 
View attachment 2211820

Ngoja nikutoe tongotongo kidogo, hii ni terminal 5 ya Heathrow airport, ujenzi ulikamilika 2008. Ujenzi wa kisasa kwenye mkusanyiko mkubwa wa watu siku hizi uko hivyo.
Now compare the number of planes in that airport na hizi tatu in JNIA of which zote ni ATCL😂😂😂

IMG_6625 (1).jpg
 
Lile Gofu lilitutesa miaka hiyo ya 2000-2010. Enzi hizo tupo Skyscrapercity , ilikua hata ukilalamikia huduma mbovu za KQ unaambiwa panda ya kwenu. ***** leo ATCL inakamua international Flights kadhaa na tuna uwanja mzuri. Kweli anayecheka wa mwisho anacheka kwa sauti

View attachment 2211541


View attachment 2211543
Now tuna ndege mpya na nzuri, Wakenya wenyewe wameanza kupanda hizi ndege na wanazisifia sn, wengi wao wameanza kuja ku connect ndege huku Tz kwenda Ndola, Harare na kwingineko
 
Mimi sipendi kujitungia maelezo na Maoni binafsi nimekupa maelezo ya Makamba na watendaji wa Tanesco..

Na zaidi nikakwambia Muulize huyo wa Tanesco alete majibu hadi saizi hakuna majibu analeta so majibu yanasalia kuwa ni Yale ya serikali kupitia Waziri,sasa kama unabisha tupe ya kwako..

Hiyo pro active ni ipi ikiwa Makamba amesema systems za usambazaji hazikuwa zinafanyiwa repairs na Kwa kuwa mahitaji ya umeme yalikuwa madogo kulikuwa na relief kwenye grid ndio maana umeme haukuwa unasumbua kinyume na Sasa ambapo mahitaji ya umeme yameongezeka zaidi..

Mambo ya pro active sijui reactive huwezi yathibitisha,ni mazingira yapi wanakuwa reactive na pro active...

Mimi binafsi nakubaliana na maelezo ya serikali Kwa sababu nimejionea huku niliko, umeme ulikuwa unasumbua Sana hadi waliponunua transfoma mpya na yenye uwezo zaidi umeme umeacha kusumbua na tuko off grid ..
Kwamba enzi za Magufuli kulikua na matumizi madogo kuliko hivi Sasa?, tunahitaji kupewa ushahidi katika Hilo. Kuna njia mbili ya serikali kuthibitisha,.
1)Kiwango cha uzalishaji umeme enzi za Magufuli na Sasa hivi
2)Kiwango cha umeme kilichokua kikitumika katika kipindi cha mwaka au mwezi kwa wakati ule na Sasa hivi/Makusanyo ya mapato yatokanayo na mauzo ya umeme yalinganishwe.

Serikali/Makamba na rais Samia wote wanalalamika kuhusu uchakavu wa miundombinu ya usambazaji umeme kuwa ndio chanzo, tunaweza kuamini juu ya Hilo, lakini swali la kujiuliza ni kwamba mbona kipindi cha Magufuli madhara ya uchakavu hayakuonekana Kama inavyoonekana Sasa hivi?.

Kama kweli hivi Sasa matumizi yameongezeka kutokana na uchumi kufunguka, tunaomba takwimu ili kweli tuamini, lakini kutoa majibu mepesi mepesi kwa Mambo ya msingi Kama haya haifai.

Jambo Moja ambalo viongozi wa Sasa hivi ni lazima wajifunze ni kwamba, Magufuli amewafungua macho watanzania kwamba Mambo yanawezekana Kama watumishi wa umma watafanya kazi zao vizuri, iwe kwa kupenda au kwa kushikiwa bakora, watu hawataki maneno na maelezo mengi, wanataka kuona vitu vinafanyika

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom