Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tukiambia hizi ngamia kwamba Thika road ni super highway wanaanza kulia kwamba tumetumia neno "super". Thika super highway ndio the only road in East and Central Afrika ambayo dereva anaruhusiwa kudrive at 110 km/h.
We have those speeds in Tanzania pia cha ajabu nini hapo besides hizo speed limits ni agreed east african standards
 
Strabag ya Germany, ina sifa ya ku construct worldclass roads... google it please....

Strabag constructed this road in 2006 na bado iko very intact, without any potholes.!View attachment 2206541
ata ndo nagundua tu sahivi ni hio hio Strabag ndio imewajengea barabara kama zote.!

Screenshot_20220430-204731_Chrome.jpg
Screenshot_20220430-204747_Chrome.jpg
Screenshot_20220430-204806_Chrome.jpg
Screenshot_20220430-204831_Chrome.jpg
 
Naskia ni choo imefura Wakunya wanachamba kwa magunzi na magazeti!
Sisi huwa hatutawazi wala kuchamba. Sisi sio Waislamu kama wewe. Kenya ni 90% christian. Usisahau hilo. By the way happy idd ul fitr kwa maana itakuwa next week.
 
We have those speeds in Tanzania pia cha ajabu nini hapo besides hizo speed limits ni agreed east african standards
Speed limit ya Kenya ya barabara zote isipokuwa Thika road ni 80 kph. Tanzania pia ni 80 kph.
 
hapana. mim ndo nipo gas power plant.. (ila actually tunafanya maintenance kwenye gas power plant ya hiko kiwanda) .. hiko kiwanda tunapofanya side hustle za maintenance services kipo maeneo ya tazara (jina kapuni)
Correct me if I'm wrong.. Founder wa huu uzi pia ni mnene kwenye kampuni kubwa ya kuzalisha umeme wa gesi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyetoka Kenya na Kuja Tanzania lazima kwanza akutane na reality check. Mambo ya historia na propaganda zikizoanzia shuleni lazima ziwe shaken off mtu akifika Tz.
And this is tactical advantage to Tanzanians... Maana sisi tumemezeshwa tupo chini wakunya wako juu.. Na vice versa Kwa wenzetu wako juu.. Sasa pale South na North zinapokutana ndio cheche..

Mtanzania alieingia nairobi na kuizunguka anajiamini sana kuliko mkunya alieingia Dar na kuzunguka maeneo yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani its legal to drive 110km/hr Thika road due to road design. Mind boggling! Road sign kama hii next kuiona ni South Africa, Nairobi Expressway niliona ni 80km/hr
110km/hr wakati barabara yenyewe ni 50km mostly in urban 🤣🤣🤣

By that speed you can't drive full hour still on the road na ndio maana hamna akili
 
Mzee kimbilia kwenye runway, passenger capacity but haitabadili kwamba JNIA ni modern than JKIA huwezi linganisha vitu za medieval era na modern mzaee hicho ndicho anachosemea pia Sauti Sol.. heb umia kidogo View attachment 2206219View attachment 2206223View attachment 2206225
Hawa mbwa itakuwa kuna namna wanatupiga bao.. Kutofautisha JNIA na JKIA ni yahitaji uelewa mpana kabisa.

Kama hata mount Kili wanasema upo kwao.. Na wakikuta wale wazungu mazuzu wanasemaga TZ ni part of kunyaland... Ndio maana hawa mimi siwapendi na hawaaminiki kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom