Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehe mabati rolling Mill. Msiwe mnalinganisha this hoedown with the mighty JKIA.

JKIA
JNIA

1651247123454 .jpg


IMG_6545.jpg
 
Mzee barabara kubwa za DSM hata kabla ya BRT hiyo kimara kibaha high way zilikua ni four lanes pamoja na hizo feeder roads ilpokuja BRT system zikatoka four lanes to six Lanes(the additional of two dedicated lanes for BRT), barabara ni six Lanes mzaee hii hapa morogoro road six lanesView attachment 2206050View attachment 2206051View attachment 2206062magomeni Morocco six lanesView attachment 2206052View attachment 2206053samnujoma road View attachment 2206054View attachment 2206057kilwa road six Lanes under construction two dedicated lanes for BRT againView attachment 2206061mwenge Morocco six Lanes under construction two dedicated lanes for BRTView attachment 2206064.. mind you barabara zote kubwa DSM ni six lanes mzee kwasababu barabara zote kubwa zipo under construction kuwekewa BRT lanes, hapa barabara mbili nimekosa picha zake (magomeni ilala boma na machinga complex keko to mbagala zote hiz zipo underway (additional of BRT lanes) .. nyie endeleeni kupiga kelele na thika high way na NAIROBI express way..sie tunachanja mbuga hatuwasubiri, Note, DAR is for BRT system

Umeacha Toure Drive Mkuu.

IMG_6553.jpg
 
😂😂 Your superstar confessing.. ukumbuke huyo yuko na exposure kukuzidi we nyang'au mlala hoi hapo kibera. Listen to him 👇.

Who is sauti sol? Ulitaka aseme JNIA inafanana na godown when he is Tanzania? Hiyo si mngemfukuza?
 
Back
Top Bottom